Mpina: Spika Tulia unda Tume za Bunge kuchunguza 1. Kuchelewa Bwawa la Nyerere 2. Kupanda bei za mafuta 3. Bei za Mbolea

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,129
Mbunge mh Mpina leo ameichambua Bajeti ya serikali kikamilifu na haya yamejiri:

Mosi, amehoji kwanini Serikali inataka kuibadili ranchi ya Mifugo Kongwa kuwa shamba la alizeti ilhali kuna mapori chungu nzima?

Pili amewataka wabunge wakatae pendekezo la kuruhusu Waziri wa Fedha awe anatoa Misamaha ya Kodi kwa Wawekezaji mahiri

Tatu amemtaka waziri wa fedha kuwashughulikia ipasavyo maafisa Ununuzi wa serikali

Nne, ameuliza Deni la Serikali kwa mwaka ni Trillion 8 au 15 kwa sababu kuna figure zinaleta ukakasi

Tano, Amemshauri Spika Tulia kuunda Tume za Bunge kuchunguza swala la kuchelewa Bwawa la Nyerere kukamilika

Kupanda kwa bei za mafuta kwa kisingizio cha Vita ya Ukraine

Kupanda kwa bei za Mbolea

Source Star tv bungeni

Kiukweli Mpina, Zitto Kabwe J J Mnyika na Tundu Lisu ni sawa na Bunge zima
 
"Modi, amehoji kwanini Serikali inataka kuibadili ranchi ya Mifugo Kongwa kuwa shamba la alizeti ilhali kuna malori chungu nzima? "

Kwa hiyo alizeti ipandwe kwenye malori?
 
Mbunge mh Mpina leo ameichambua Bajeti ya serikali kikamilifu na haya yamejiri:

Mosi, amehoji kwanini Serikali inataka kuibadili ranchi ya Mifugo Kongwa kuwa shamba la alizeti ilhali kuna mapori chungu nzima?

Pili amewataka wabunge wakatae pendekezo la kuruhusu Waziri wa Fedha awe anatoa Misamaha ya Kodi kwa Wawekezaji mahiri

Tatu amemtaka waziri wa fedha kuwashughulikia ipasavyo maafisa Ununuzi wa serikali

Nne, ameuliza Deni la Serikali kwa mwaka ni Trillion 8 au 15 kwa sababu kuna figure zinaleta ukakasi

Tano, Amemshauri Spika Tulia kuunda Tume za Bunge kuchunguza swala la kuchelewa Bwawa la Nyerere kukamilika

Kupanda kwa bei za mafuta kwa kisingizio cha Vita ya Ukraine

Kupanda kwa bei za Mbolea

Source Star tv bungeni

Kiukweli Mpina, Zitto Kabwe J J Mnyika na Tundu Lisu ni sawa na Bunge zima
Mpina ni mmojawapo wa wabunge ambao hawako Bungeni kimaslahi wala kichama kama hao wengine.

Tatizo ni kwamba Bunge zima limetekwa kupitia chama chao CCM.

Unakuta akitokea mmojawapo kuchangia kwa maslahi mapana ya kitaifa zaidi.

Anayepangwa kuchangia ni yule wa maslahi binafsi.
Wanakuwa wamejipanga ku mcrash yule aliyegusia maslahi muhimu ya kitaifa.
 
Mpina ni mmojawapo wa wabunge ambao hawako Bungeni kimaslahi wala kichama kama hao wengine.

Tatizo ni kwamba Bunge zima limetekwa kupitia chama chao CCM.

Unakuta akitokea mmojawapo kuchangia kwa maslahi mapana ya kitaifa zaidi.

Anayepangwa kuchangia ni yule wa maslahi binafsi.
Wanakuwa wamejipanga ku mcrash yule aliyegusia maslahi muhimu ya kitaifa.
Mwambieni Mpina acheze kwa stepu.
Mkumbusheni kuagana na nyonga kabla ya kuruka. Think before you leap.
Aende akachukue madesa kwa Lucas Selelii.
Mtahadharisheni yuko na wenzie kwenye nyumba ya vioo, asirushe mawe.
Kama atasikia.
 
Mwambieni Mpina acheze kwa stepu.
Mkumbusheni kuagana na nyonga kabla ya kuruka. Think before you leap.
Aende akachukue madesa kwa Lucas Selelii.
Mtahadharisheni yuko na wenzie kwenye nyumba ya vioo, asirushe mawe.
Kama atasikia.
Ametumia haki yake kikatiba kuhoji na kushauri,kipi ambacho hakijakufurahisha.

Ni vizuri kuheshimu mawazo yake,muhimu hapa ni katika kujenga siyo kubomoa.
 
Ametumia haki yake kikatiba kuhoji na kushauri,kipi ambacho hakijakufurahisha.

Ni vizuri kuheshimu mawazo yake,muhimu hapa ni katika kujenga siyo kubomoa.
Mkumbusheni kuwa hata Lucas Selelii alitumia haki kama hiyo. Akamuulize ilikuwaje.
Akitaka wengine wa kushauriana nao msisite kumpa orodha.
 
Mbunge mh Mpina leo ameichambua Bajeti ya serikali kikamilifu na haya yamejiri:

Mosi, amehoji kwanini Serikali inataka kuibadili ranchi ya Mifugo Kongwa kuwa shamba la alizeti ilhali kuna mapori chungu nzima?

Pili amewataka wabunge wakatae pendekezo la kuruhusu Waziri wa Fedha awe anatoa Misamaha ya Kodi kwa Wawekezaji mahiri

Tatu amemtaka waziri wa fedha kuwashughulikia ipasavyo maafisa Ununuzi wa serikali

Nne, ameuliza Deni la Serikali kwa mwaka ni Trillion 8 au 15 kwa sababu kuna figure zinaleta ukakasi

Tano, Amemshauri Spika Tulia kuunda Tume za Bunge kuchunguza swala la kuchelewa Bwawa la Nyerere kukamilika

Kupanda kwa bei za mafuta kwa kisingizio cha Vita ya Ukraine

Kupanda kwa bei za Mbolea

Source Star tv bungeni

Kiukweli Mpina, Zitto Kabwe J J Mnyika na Tundu Lisu ni sawa na Bunge zima
Ushauri mwingine sawa ila hilo la sijui time ya Bwawa,mara Bei za mbolea mara mafuta kaongea upumbavu..

Ni mpumbavu tuu,atafute wajinga wenzie ndio awaambie hivyo au kama vipi ajigeuze kuwa tume...

Aliwahi ambiwa aende Wizarani akachukue kibali cha Kuleta mafuta Kwa bei Chee akaingia mitini 😂😂
 
Back
Top Bottom