Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
[h=6]Mpigie simu mbunge wako simu mtake akugawie kidogo fedha za kukusaidia matatizo yako ya hapa na pale. Namba yake unaweza kuipata kwenye Parliament of Tanzania Hasa wale ambao wanaunga mkono kupewa posho au wako kimya! [/h]