mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 423
- 506
Chako chake chake chake, am sorry bro aisee its indeed hard time, bora uchumba ufe kuliko ndoa, that's kind of behaviour passing to ur offspring, be keen aisee..
Bora tabia yake imekuwa wazi mapema kabla muda haujasogea sana, hiyo sio tabia ndogo Mkuu... Decide wiselly, mwambie ukwel. inauma lakini lakini hakuna namna...thaman yako kwake ni pesa yako na mali yako...ukiwa empty set siku moja alafu ndo ashakuwa Mke wako, ndo utaona joto ya jiwe ya mwanamke mfanyabiashara anayejua thaman ya pesa kuliko mmewe....pole aisee.
Bora tabia yake imekuwa wazi mapema kabla muda haujasogea sana, hiyo sio tabia ndogo Mkuu... Decide wiselly, mwambie ukwel. inauma lakini lakini hakuna namna...thaman yako kwake ni pesa yako na mali yako...ukiwa empty set siku moja alafu ndo ashakuwa Mke wako, ndo utaona joto ya jiwe ya mwanamke mfanyabiashara anayejua thaman ya pesa kuliko mmewe....pole aisee.