kipepeo mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 244
- 69
Hakuna bikra sikuhizi mkuu, papuchi c iko poa lakini au bwawa?
Mkuu uso wa nyoka, nahic mtoa uzi alikuwa anamind sana bikra sa mchumba akijichek hana na anampenda jamaa so akaona amdanganye tu..hahaha
Everything happens for a reason, whether nzuri ama mbaya Mshirikishe Mungu, wazazi pia kama uliwahusisha tangu mwanzo...katika mtihani wako unaopitia hapa jf utaumiza kichwa
Habari zenu wakuu,
Nilikua na mpenzi ambaye tulidumu nae kwa muda wa miaka miwili. Katika kipindi cha mahusiano yetu sikuwahi kufanya nae mapenzi kwani aliniambia kuwa yeye ni bikira na kuwa nisubiri mpaka tuoane.
Kwa kuwa nilimpenda niliamua kusubiri. Cha kushangaza juzi tu baada ya ndoa tu tulipofanya mapenzi hali ilikua tofauti baada ya kukutana na nisichotegemea. Roho imeniuma sana kwani kumbe wakati mi namsubiri wengine walikua wanakula mzigo.
Bikra mwachie Maria na Yusuf waliobaki ni usanii mtupu kuna kademu nakafukuzia mwaka sasa unapita nikijaribu kukaomba papuchi kanadai ni kabikira, ila matendo yake hayasignify bikra yake kwa sababu kanapenda sana kuomba pesa nipo nakavutia kasi kakijichanganya kakavua chupi na hyo bikra kanayoimba nisikute nakapiga chini
mkuu usiwe nahofu hata kidogo,mbona siku hizi bikira watu wana renew.kama wewe ni mpenzi wa bikra mwambie akairenew na inakuwa tamu kuliko hata original habari ndo hiyo
Ifike mahali wanaume tujue kuwa ubikra sio lazima iwe physical thing...I mean ubikra ni ile state ya kuwa mwanamke hajawahi kufanya ngono na mwanamme kwa sababu kisayansi kuna njia tofauti zinazoweza kusababisha bikra kwa maana ya kile kiwambo/layer itoke
Again mbona ni kitu cha kawaida wanaume kuambiwa hivyo? ila kwa tunaojua huwa tunaitikia "ndiyo" mdomoni huku moyoni tunasema "of course you are a virgin...just like my grandmother!"
Again ulitaka mkeo awe bikra, wewe ulikuwa bikra wakati unamuoa?
The best you can do ni kuangalia mwenendo wake BAADA ya ndoa na sio kable, otherwise unatafuta kujikosesha raha buuure
unacheka nini sasa? mie nipo nimejaa teleHahahahahahhahahahahahahahahahhha uwiiiiiii ntakutafuta axee
weka picha