Jamani bado namfukuzia Natasha, Siwezi mPM maana MOD watasoma, nimekumbuka barua niliyomwandikia mwaka 1994. Huko uliko nijibu, Mwenzako ni Mchungaji ila bado nakupenda
Masa K
Hee Rev Masanilo umeamua kuwa Deacon, Natasha yupo ila nadhani kwa kuwa wewe ni mchungaji na majukumu yako ni kulinda wanakondoo wasipotee itabidi ujchukue jukumu la kumtafuta alipo. ANGALIZO: USIJE UKAMUWEKA KINYUMBA UKIMPATA NA UKATUMIA HELA ZA WAUMINI KUMUHUDUMIA:becky::becky:
Umecheki mashairi? Kama hunitaki usimwambie mtu
Jamani mimi nampenda tu kwenye barua na si zaidi!
Natasha enzi hizo alikuwa anapendeza sana nywele zake za twende kilioni na suruali za Kakoba msheli