Mie roho ilikuwa inaniuma kila nilipokuwa najaribu kufungua jf halafu inagoma, nilijisemea moyoni kuwa mapenzi yangu kwa jf ndio mwisho....kumbe ni ufundi tu.
Binafsi hata chakula kilikuwa kinagoma kushuka ...wakuu tunaomba muwe mnatualert jamani ili tusipatwe na BP.
Binafsi hata chakula kilikuwa kinagoma kushuka ...wakuu tunaomba muwe mnatualert jamani ili tusipatwe na BP.
Ndo vizuri wana JF tupate na SHELL, OILCOM,KOBIL NA TOTAL afu tuwe mabilionaire....wakuu tunaomba muwe mnatualert jamani ili tusipatwe na BP.