Mpanda: Aliyeporwa udiwani amwaga machozi mbele ya Mbowe

zitto junior

JF-Expert Member
Oct 7, 2013
19,099
28,785
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.

Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.

Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!

Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.

Video hapa chini



Source: Mwananchi Digital
 
Hakuna aliye salama, nadhani hata wewe unaona figisu alizofanyiwa Gwajima na Ndugai kwa kukosoa same to Mpina aliyevuliwa vyeo vyake kwenye chama.

Tuungane tudai katiba mpya Ili awe CCM awe Chadema au asiye na chama basi sheria iweze kumpa fair judgement where due.
Jambo muhimu sana
 
Matukip hayo ndiyo yalimfanya marehemu kuonekana kuwa kiongozi katili kuliko mwingine yeyote aliyetangulia kabla yake na huenda hata wote watakaofuata.

Wakati wa utawala wa awamu ya 5, viongozi wote walikuwa wanashindana kwa ukatili, walikuwa wanashindana katika kudhulumu haki za watu. Na mtu ili apande cheo au kupata uteuzi alitakiwa ajioneshe ni katili na mdhulumaji kwa kuwango cha juu dhidi ya watu wa vyama vya upinzani. Kilikuwa ni kipindi cha giza nene.

Nilisikitika kuona JPM ameaga Dunia ghafla lakini sikupenda hata kidogo aendelee kuwa Rais maana alikuwa anawaangamiza watu, na alikuwa analiangamiza Taifa. Ulikuwa ni utawala wa hadaa nyingi. Mara walijifanya wanawajali na kuwapenda raia lakini hao hao raia wakiwafanyia kila aina ya dhuluma.

Utawala wa awamu ya 5 umepita. Cha kujiuliza ni je, tunafanya nini sasa ili kuziba kabisa mianya ya kuruhusu wasiofaa kuwa viongozi hawapati nafasi.
 
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.

Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.

Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!

Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.

Video hapa chini


Source: Mwananchi Digital
Mungu ibariki CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.

Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.

Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!

Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.

Video hapa chini


Source: Mwananchi Digital

Kaburi lake licharazwe viboko, limwagiwe mafuta ya taa, mikojo, na kinyesi
 
Back
Top Bottom