zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,099
- 28,785
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.
Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!
Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.
Video hapa chini
Source: Mwananchi Digital
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.
Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!
Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.
Video hapa chini
Source: Mwananchi Digital