Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
MMM umesema vizuri, mimi nina hakika Nassari kihalali atashinda tena kwa kura nyingi. Mashaka yangu ni tume ambayo itachelewesha matokeo na kufanya umati wa watu ambao watakuwa na hamu ya kusubiri matokeo au kuogopa kuchakachuliwa utakapotakiwa uondoke eneo la kutangazia matokeo na hapo ndipo vurugu zitakapoanzia.