Smartboy
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 1,110
- 128
Mh. Lameck Airo amejitokeza na kusema asipo chaguliwa 2015 kuwa mbuge wa Rorya, anaondoka na samani zote za ofisi. Hizi ni pamoja na meza,viti,kabati, nk.
My side hivi hawa wabunge wa ccm huwa wanafikiria nini, mbona kila anayeongea anatema pumba. Hebu fikirieni point kama hii unaweza kusema huyu jamaa anafaa kuwa mbunge! Naona ccm inaisha taratibu yaani hakuna mwenye uafadhali.
Source gazeti la Mzawa la jana.
My side hivi hawa wabunge wa ccm huwa wanafikiria nini, mbona kila anayeongea anatema pumba. Hebu fikirieni point kama hii unaweza kusema huyu jamaa anafaa kuwa mbunge! Naona ccm inaisha taratibu yaani hakuna mwenye uafadhali.
Source gazeti la Mzawa la jana.