Dahh! NjiwaPeace, stability and prosperity.
TRA -pamoja tunalijenga taifaMimi napenda sana motto kuhusu US Navy SEALs, usemao “The only easy day was yesterday” “It pays to be a winner” “Never out of the fight”.
Kauli mbiu hii ina lengo la kuwatia moyo wapambanaji wa kikosi hiki.
Ukija katika maisha ya kawaida, hautakiwi kukata tamaa, pambana sana na usifikirie kushindwa hata kama jambo lina ugumu gani.
Tushirikishe, motto wa taasis gani unakuvutia?
Never Say dieMimi napenda sana motto kuhusu US Navy SEALs, usemao “The only easy day was yesterday” “It pays to be a winner” “Never out of the fight”.
Kauli mbiu hii ina lengo la kuwatia moyo wapambanaji wa kikosi hiki.
Ukija katika maisha ya kawaida, hautakiwi kukata tamaa, pambana sana na usifikirie kushindwa hata kama jambo lina ugumu gani.
Tushirikishe, motto wa taasis gani unakuvutia?
Huku nlipo tumeangaziwa tangia jioni💔💔😂😂Tunayaangaza maisha yako