Motsepe analibeba soka la Afrika Kusini mabegani mwake

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,654
9,258
Timu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,

Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,

Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
 
Timu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,

Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,

Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
Tunajitafuta bado..south wapo mbali kiasi chake.
 
Timu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,

Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,

Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
Ligi ya south huwezi linganisha na ligi yetu wenzetu wamepiga hatua zaidi.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Tunajitafuta bado..south wapo mbali kiasi chake.
sio kweli mkuu, wao wanachokifanya ni kuionesha dunia kuwa wao wapo vizuri wanatengeneza connection, hapo south timu nzuri ni mamelody tu hao wengine akina kaizer na orlando pirates hawana tofauti na singida FG kilichofanyika hapo ni kuwaamini wazawa hakuna kingine mkuu
 
Hawajafanya hivyo kwa kupenda bali South africa hawana wachezaji wanaocheza ligi za kueleweka ulaya.

Enzi za kina Mark Fish, Ben Macarty , lucas radebe, steven pieener, Quintone Fortune ilikuwa ngumu kupanga kikosi cha watu wanaocheza ligi za africa.

Imagine south africa ya leo hii mchezaji tegemezi mwenye jina kubwa ni Percy tau. South africa wamerudi nyuma sana kisoka.

Hawajafanya hivyo kwa kupenda. Wangekuwa na watu ulaya. Hao kina percy tau wangetupwa kule

Ukiwa huna hela ya Kula Pilau na una njaa. hata makande utayaona matamu
 
Yaah sure hilo ni zuri lazima tuwaaminishe wachezaji wazawa kuwa wao ndio tanzania yenyewe..
hata kocha tangu mwanzo alitakiwa awe mgunda na hemedy wenzetu wanapandisha thamani ya ligi yao kiujanja ujanja hamna cha academy wala nini ni akili ndogo tu imetumika qapo, sasa ivi morocco, algeria, tunisia na misri wana hali gani? Senegal, ghana na cameroon na academy zao wanahali gani AFCON na champion league
 
Hawajafanya hivyo kwa kupenda bali South africa hawana wachezaji wanaocheza ligi za kueleweka ulaya.

Enzi za kina lucas radebe, steven pieener, Quintone Fortune ilikuwa ngumu kupanga kikosi cha watu wanaocheza ligi za africa.

Imagine south africa ya leo hii mchezaji tegemezi mwenye jina kubwa ni Percy tau. South africa wamerudi nyuma sana kisoka.

Hawajafanya hivyo kwa kupenda. Wangekuwa na watu ulaya. Hao kina percy tau wangetupwa kule
hao akina QUNTON FORTUNE na BEN MACARTHY waliisadia nn bafana bafana
 
Kitu cha kwanza kabisa ni kuwa na ligi Bora si Bora ligi, ligi shindani, miundombinu ya kisasa na kueleweka, programu za muda mrefu na kueleweka za wachezaji vijana tena za kueleweka kweli...swali je tuna programu yoyote ya kueleweka ya kukuza soka la vijana?, jibu ni kwamba hakuna bali tunasuburi wachezaji watoke huko wanapotoka bila kuwa na msingi mzuri wa mpira mwisho wa siku tunalalamika mbona Fulani pale hajafanya hivi kama wenzake wa ulaya, tatizo tunapenda chakula kikiwa tayari bila kutaka kufahamu kiliandaliwa vipi...hiyo SA ina programu za kueleweka

We ona timu kama misri ni timu ambayo licha kutolewa unaona jinsi wachezaji wa ligi Yao ya ndani wapo daraja tofauti kabisa na wachezaji wengi wa ndani wa soka barani afrika,Leo hii wachezaji wa timu za misri hawana tofauti kubwa na wachezaji wa ulaya, south afrika napo ni hivyo hivyo hasa Kwa timu chache zinazojitambua, tatizo kubwa tulinalo hakuna programu za maana na endelevu za kuinua soka la vijana, hii ndo hutengeneza wachezaji Bora.

SA tayari walishafika mbali, niambieni tuna wachezaji gani wa ndani hata mmoja tutamlinganisha na wa south afrika?, niambie Kuna mtu kama Mokoena kwenye kiungo, tuna maseko, imagine kijana 21 yrs kama maseko unaona utimamu wake kwenye AFL, hivyo la hasha hatuna kwasababu hatutaki kuwa nao Kwa kutaka shortcut ya maisha ya mpira, wote hao wana makuzi ya soka ya kueleweka.

Bongo huku kijana anacheza mpira lakini hajui atakula Nini tena hapo yupo kwenye programu Fulani ya kukuza vijana, watu wanakula mihogo na kachumbari Kwa siku, imagine.
 
Mi naona Mgunda angepewa Taifa Stars kuliko kuingia gharama za kuleta makocha wa nje,tatizo hatuthamini wazawa, Mgunda na uwezo wake bado hata Simba imempa timu ya wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe pia humthamini huyo mzawa Mgunda. Kwamba makocha wa nje tunaingia gharama hivyo Mgunda yeye ni rahisi, hana thamani ya kuingia gharama akipewa Stars.
 
Mimi nadhani hili swala ni complex sana
Umewaona equatorial Guinea? Jamaa wachezajj wao wengi wamewapa uraia na wale cape Verde mbona wanakiwasha? Je cape Verde wana ligi nzuri kushinda Tanzania?

Kwahiyo kinachohitajika ni selection nzuri ya wachezajj team ya taifa sio siasa zetu hizi mfano msuva hana team lakini akaitwa akacheze!

Angalia ivory coast zaha aliachwa wanasema kashuka kiwango!
Ingekuwa bongo piga ua angeitwa ..!

Wazawa wenyewe hatuwathamini hata kidogo, mshahara mdogo tunawapa, thamani ndogo buku kina chama wakila vinono..!
 
Timu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,

Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,

Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
Una ongelea ligi ya kina Tatu Malogo?
 
Timu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,

Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,

Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
Wakati Misri inawatumia wachezaji wazawa miaka ya nyuma hasa kutoka Al Ahly walinyanyasa sana soka la afrika
 
Back
Top Bottom