mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Duuuuh! Kumbe WCDMA siku hizi ni 4G!!!!?
Ha, ha, ha. Kwanza hata hiyo 3G yenyewe inawashinda. Wabongo hawajui 4g ni nini, kwa hiyo wakidanganywa wanaamini tu. Ukweli ni kwamba hakuna 4 g eneo zima la Africa Mashariki. Hata South sidhani kama ipo