Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

CCM wapuuzi sana. mda wote wanatumia kumpaisha lowassa badala ya kuongea sera zao. kweli ccm nyanganyanga kifo cha mende. Lowassa yeye na sera tu. mpaka magufuli naye anacheza mziki wa lowassa
 
Tmk wanaperfom ni balaa. Hawa watu wamesombwa na magari? Waliopo moro picha please!
Najua hawajasombwa hawa, moro ni ngome ya ccm....big up!

Leo magari ya abood hayajaja Moshi....nadhani yana kazi maalum
 
Kwa mujibu wa mke wa Dr Slaa, lowassa ndiye aliyempeleka Dr Slaa Chadema, kwahyo lowassa ni mwaka harakati wa siku nyingi wa upinzani hata kabla ya Dr Slaa
 
Magufuli; anawaambia wana morogoro kuwa wanataka mabadiliko na anawaambia kuwa mabadiliko bora ni yale ambayo yanaheshimu kanuni na misingi ya amani na utulivu..

Mabadiliko, yasiyoheshimu misingi ya amani ni hatari kwa hatma ya nchi..anatolea mfano wa LIBYA.
 
MAGUFULI; Anawaambia namna maisha yalivyokuwa kwa watu wa LIBYA wakati wa utawala wa Gaddaf na jinsi walivyoshawishika kumuua gadaf na baadae sasa wanajuta..nchi imeharibika na watu wa libya wanaona bora kwenda kufa katika bahari ya medditeranian wakienda Ulaya kuliko kuendelea kuishi LIBYA kutokana na ugumu wa maisha baada ya kufanya mabadiliko yasiyozingatia misingi ya amani na utulivu.
 
MAGUFULI; Anawaambia namna maisha yalivyokuwa kwa watu wa LIBYA wakati wa utawala wa Gaddaf na jinsi walivyoshawishika kumuua gadaf na baadae sasa wanajuta..nchi imeharibika na watu wa libya wanaona bora kwenda kufa katika bahari ya medditeranian wakienda Ulaya kuliko kuendelea kuishi LIBYA kutokana na ugumu wa maisha baada ya kufanya mabadiliko yasiyozingatia misingi ya amani na utulivu.

Asante mkuu kwa updates iliyotulia.
 
MAGUFULI:
Anazungumzia Viwanda vya mji wa morogoro na kuwaahidi kuwa atajenga viwanda vya kutosha na pia atafufua vile ambavy vinalegalega...

Dr Magufuli anazungumzia kufufua viwanda na kuwaahidi ajira vijana kutokana na viwanda hivyo..
 
Back
Top Bottom