Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,530
David Mattaka baada ya kuboronga ATCL, si TISS walimvet na akapewa sinia lingine la Ubwabwa NIC na Mkwere..? Sasa kama Mkwere alijua awali jamaa anachombeza 10% kwa nini akampa "ulajui" wa ziada ATCL?
Sasa rudini kufukua archives za PPF mtajinogile!
Sasa rudini kufukua archives za PPF mtajinogile!