Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Kwa nini? Kwani Monsignor siyo padri? Halafu hapo kwa Wasukuma umechemka Mkuu! Mbona juzi hapa kateuliwa Renatus Nkwande ambaye alipelekwa Bunda! Naye alitanguliwa na Msonganzila jimbo la Musoma! Unafikri makabila yote tutaenea kwenye Uaskofu? Majimbo yenyewe yako wapi Mkuu? Hata hao wachache tulio nao wanatutosha! Mbona nyie Wakwere hakuna hata mmoja!Namimi nashangaa mara nyingi monsignor hawezi akawa askofu ! why this one ? Halafu Wasukuma kupata uaskofu siku hizi ngumu sana nafikiri inatokana na kuua wazee, albino na kula nyama ya fisi!