MAGUFULI, MGUFULI, MAGUFULI!!!!!!!!
kweli barabara zilijengwa, lakini mnafahamu nyumba yake ambayo yeye alijiuzia, kabla hajajiuzia alifanya nini, yani kweli waTanzania sijui tunakoelekea. Alijenga kitu kipya kikali ndani ya huo uwanja, kwa fedha za serikali baadae akajikabidhi kiulaini kwa hela zetu ambazo zingesaidia wanaokaa chini wakisoma. Na kulikuwa kuna mvutano kati yake na Gray Mgonja alipomkatalia kuchukua nyuma (ambayo nayo ilileta kashfa kwa gharama alzonununua nilisikia kama alianza lipa gharama za juu alizoficha). Mgonja alipokataliwa kununua nyumba, akainama kama Kobe, simnajua mafisadi, hata uje na hoja gani wanakuja na jambo jipya. Akamwambia Magufuli kuwa Waziri ni cheo cha kisiasa, hivyo hatakiwi naye kupata nyumba kwa sababu wanaohitajika ni wafanyakazi wa serikali. Basi katika mvutano Magufuli akaridhia kumkatia naye pande lake Mgonja. Ila kwa nini Magufuli alikuwa anamkatalia Mgonja, ni stori nyingine tofauti.
Hivyo munaomtetea Magufuli, ni sawa na Mvi zilizopakwa rangi nyeusi. Huyu bwana naye hafai, na ni mtu wa kulalamika kila kona kuwa anaonewa. Ukiwa ndani ya CCM, wa njia moja ama nyingine utakuwa FISADI, angalia hela walizokuwa wanagaiwa kila mgombea Ubunge zilitoka wapi?
Yani nachoka kabisa hata kufikiri......
kweli barabara zilijengwa, lakini mnafahamu nyumba yake ambayo yeye alijiuzia, kabla hajajiuzia alifanya nini, yani kweli waTanzania sijui tunakoelekea. Alijenga kitu kipya kikali ndani ya huo uwanja, kwa fedha za serikali baadae akajikabidhi kiulaini kwa hela zetu ambazo zingesaidia wanaokaa chini wakisoma. Na kulikuwa kuna mvutano kati yake na Gray Mgonja alipomkatalia kuchukua nyuma (ambayo nayo ilileta kashfa kwa gharama alzonununua nilisikia kama alianza lipa gharama za juu alizoficha). Mgonja alipokataliwa kununua nyumba, akainama kama Kobe, simnajua mafisadi, hata uje na hoja gani wanakuja na jambo jipya. Akamwambia Magufuli kuwa Waziri ni cheo cha kisiasa, hivyo hatakiwi naye kupata nyumba kwa sababu wanaohitajika ni wafanyakazi wa serikali. Basi katika mvutano Magufuli akaridhia kumkatia naye pande lake Mgonja. Ila kwa nini Magufuli alikuwa anamkatalia Mgonja, ni stori nyingine tofauti.
Hivyo munaomtetea Magufuli, ni sawa na Mvi zilizopakwa rangi nyeusi. Huyu bwana naye hafai, na ni mtu wa kulalamika kila kona kuwa anaonewa. Ukiwa ndani ya CCM, wa njia moja ama nyingine utakuwa FISADI, angalia hela walizokuwa wanagaiwa kila mgombea Ubunge zilitoka wapi?
Yani nachoka kabisa hata kufikiri......