Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Hivi mtu utaelezaja kuwa na 1.125 billion shillings in an account?
Tena mtumishi wa serikali.
Mbona hivyo ni V I J I S E N T I!
WIZI MTUPU!
Hivi mtu utaelezaja kuwa na 1.125 billion shillings in an account?
Tena mtumishi wa serikali.
Hizi tabia za kubadilisha vichwa vya habari kukizi haja ya watu binafsi ni mbaya sana
A L,Yaani jamani nyie hii picha mnakiuka kbs sheria kuitundika hapa hivi hamjisikii vibaya hata kuimulika du hatari tupu.ilijichotea mibilions kula ovyo mwili umepanuka kila mahali mpaka PUA kubwa mfereji una afadhali.unapata uongozi kujitengenezea mipresha ya nini?yaani hawa mungu atawabariki
Asante nimekutumia e mail.Nimekupata mkuu, safi lets work on that