Ngoja tuweke sawa hii maneno:
Broda, ukisema hiyo ni moja ya ndege kubwa kabisa unakanganya, sema kuwa hii ndio ndege kubwa kuliko zote duniani kwa habari ya ubebaji abiria, ikiiacha kwa mbali Jumbo-Jet, Boeing 747 ya Mmarekani ambayo ndiyo iliyokuwa ikishikilia nafasi hiyo
.
Inaitwa Airbus -380, ndege ya Kifaransa, na ina uwezo wa kubeba kuanzia abiria 550 hadi 800, kufuatana na mahitaji ya wanaoweka order.
Tanzania haiwezi kutua, labda huko 'sOUND-aFRICA'- Afrika ya kusini.
Haifikii hii ANTONOV
Iko wapi na imefanyaje?
Nothing!...
Our precious time wasted!
Kweee!
Empty Post!
Mkuu to be honest,hii uliyotuonyesha wewe ni ndogo sana!!
yaah, antonov 225 mirya ndiyo ndege kubwa kuliko zote duniani kwa sasa. Ingawa hii ni maalum kwa cargo. zito wake pekee unafikia zaidi ya tani 600. ina uwezo wa kubeba tani 250 na uwezo wa kuingiza ndani mzigo wenye urefu wa mita sabini na vile vile inaweza kubeba mzigo kwa nje(na mbeleko?)Haifikii hii ANTONOV
Ngoja tuweke sawa hii maneno:
Broda, ukisema hiyo ni moja ya ndege kubwa kabisa unakanganya, sema kuwa hii ndio ndege kubwa kuliko zote duniani kwa habari ya ubebaji abiria, ikiiacha kwa mbali Jumbo-Jet, Boeing 747 ya Mmarekani ambayo ndiyo iliyokuwa ikishikilia nafasi hiyo
.
Inaitwa Airbus -380, ndege ya Kifaransa, japokuwa parts zake zimetengenezwa sehemu mbalimbali duniani, na ina uwezo wa kubeba kuanzia abiria 550 hadi 850, kufuatana na mahitaji ya wanaoweka order.
Spidi yake ikiwa cruising inafikia km900kwa saa.
Bei ya ndege moja ya aina hii iko kwenye wastani wa US Dola 350Million.
Tanzania haiwezi kutua, labda huko 'sOUND-aFRICA'- Afrika ya kusini.
Mabulangati,Ndugu zangu napenda kuwaambia kuwa kwa upande wa ubora wa aerodrome uwanja wa KIA ni bora kulko Oliver Tambo. Achilia mbali swala la miundombinu mingine lakini dege hilo linatua KIA bila shida yoyote.
Mh!!inachukua watu wangapi?inatisha mkuu!!Picha ni ndogo lakini ndege ni kubwa sana.....imagine SIX jet engines na 32 tyres
Kama umesoma vizuri post yangu utakuwa umeona kuwa nimeshaongelea suala hilo...you are just repeating the stuff!!Na mmi naomba nikusahishe kdg hyo co ndege kubwa duniani bali ni ndege kubwa ya abiria,ndege kubwa duniani ni Antonov 225.