Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni: Rais Magufuli yupo well-informed na fiti sana kichwani kwa kumbukumbu. Ana data hadi za majungu hatarishi ya ndoa!

KILAZA MKUBWA WEWE. ENGLISH YENYEWE HUJUI KAZI KUJI BARAGUZA. WEWE NI MLAMBA VIATU VYA WANAUME WENZAKO NI AIBU. NGOJA MISAADA YOTE IKATWE NDIO MTATIA AKILI. ENDELEENI KUMU IMBIA MAPAMBIO NA KUM TUKUZA PLUS KUSU JUDU NA KUMU ABUDU .
Taratibu mkuu, huyo Pasco nenda naye polepole sometimes ni mchokoza mada tuu.
Huna haja ya kuchukia kiasi hicho bali kumshukuru kwa kuanzisha kwake jambo litakalo kupa nafasi ya kutiririka eitha ukimpinga au kumuunga mkono huku yeye kashika glass ya mvinyo anacheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani, leo katika kuwaapisha viongozi wapya aliowateua hivi karibuni, alikuwa anatiririka na data za mmoja mmoja kwa kutaja sifa zake huku akishusha hadi taarifa za majungu wanazopigwa baadhi ya watendaji wake wazuri, na kwa upande wa watendaji wanawake, rais Magufuli ana data hadi za majungu ya kutaka kuwahatarishia ndoa zao.

Anajua umri wao, anajua elimu zao hadi za watoto wao; hadi anawajua waume zao na kuwapongeza kuwa wake zao ni wachapa kazi waadilifu hivyo wanapigwa vita na majungu, na majungu mengine ni majungu hatarishi kwa ndoa zaa, hivyo amewapongeza hadi waume zao kwa kuwa ni watu wenye misimamo wasiosikiliza majungu hivyo ndoa hizo zimesimama.

Rais mwenye data za namna hii huwezi kumdanganya kitu. Swali linakuja: Kama rais yuko well-informed kiasi hiki na kuna viongozi anawafahamu vizuri hivi na ana data hivi kuhusu wateule wake, sasa inakuwaje katika baadhi ya maeneo kunatokea pangua pangua za muda mfupi as if sometimes huwa anafanya kama guess work mfano CG wa TRA?

Au inakuwaje kwa hawa baadhi ya watendaji wake ambao wanafanya madudu ya ajabu ajabu, lakini rais hapelekewi data hadi sasa Wamarekani ndiyo wanakuja kusaidia kuoneshea madudu ya baadhi wateule wake?!. Au wateule hao hizo tuhuma walituhumiwa na hao Wamarekani ni tuhuma za uongo tuu ndio maana tumezipuuza au kama tuhuma hizo ni kweli, ili serikali kuonyeshea is not part of it, ilibidi by now, iwe tayari imeisha ji distance nazo, inawezekana ukimya huu ni uthibitisho kuwa mtuhumiwa alitumwa hivyo alikuwa anatimiza wajibu wake baada ya kupokea amri halali na yeye kuzitekeleza?!.

By the way, pia naomba kutoa kero za kukatizwa kwa matangazo ya maana mhimili mmoja wa Bunge na kuletewa live za Ikulu kuingilia matangazo ya mihimili mingine!.

Nimefanya kazi RTD na TBC, hivyo nafahamu umuhimu wa kukatisha matangazo yoyote ya kawaida ili kuleta matangazo yoyote ya live ya tukio muhimu zaidi. Hivyo, TBC ipo huru kukatisha matangazo yake ya kawaida wakati wowote na kutuletea matangazo ya live za Ikulu ila katika kufanya hivyo, it's not fair kukatisha live muhimu za Bunge ambazo ni scheduled program ya kipindi cha Maswali na Majibu, ndiocho kipindi pekee, wabunge wetu ambao ni wawakilishi wetu sisi wananchi, wanauliza maswali tuliowatuma, halafu kutupeleka Ikulu kutuosha tukio ambalo sio la dharura na less significant la kuapishwa kwa viongozi wapya.

Usawa wa mihimili Uko Wapi?, au Kila Event ya Mhimili uliojichimbia chini zaidi ni Muhimu Kuliko Events za Mihimili Migine?.

Mihimili mitatu ya Dola, Serikali, Bunge na Mahakama, in principle inapaswa kuwa sawa, iheshimiane na kustahimiliana. Sasa kunapotokea mihimili yote hii mitatu inaendesha matukio yanayostahili kutangazwa live na TBC, ratiba za matukio hayo zipangwe ili hii mihimili iheshimiane. Kitendo cha kukatishwa kwa matangazo ya mhimili mmoja wa Bunge live, kwa ajili ya kuletewa matangazo ya live ya Mhimili mwingine wa serikali pale Ikulu si sawa na si haki hata kama muhimili mmoja umejichimbia zaidi lakini heshima ya mihimili ibaki pale pale!.

Nini muhimu kati ya live ya Bunge na live ya Ikulu?
Umuhimu wa tukio lolote unapimwa kwa significance, ukubwa na udharura.
Kila mtu anajua kuwa wakati wa kipindi cha vikao vya Bunge, TBC inafanya live ya dakika 60 ya kipindi cha maswali na majibu. Kwa vile Bunge ni Mhimili, wapanga ratiba wa shughuli za rais, wanapaswa kuliheshimu Bunge, hivyo kukitokea shughuli za rais zinazohitaji kutangazwa live kipindi cha Bunge, then Bunge lingepaswa kuheshimiwa, shughuli za rais zipangwe kuanza saa 4:00 asubuhi ili tusi disrupt matangazo ya Bunge live.

Japo Rais ndie mtu mkubwa kuliko wote, tukio la kuapisha viongozi wapi siyo tukio muhimu kivile ku-justify kukatika Bunge live ambalo ni la wananchi, kutuletea matangazo ya Ikulu ya mtu mmoja na wateule wake!

It is as if live za Bunge ambazo ziko scheduled zinatangazwa kwa hisani tu; likitokea lolote Ikulu, no matter tukio la Ikulu ni insignificant kiasi gani, matangazo ya Bunge yanakatishwa tunapelekwa Ikulu. Kama wapanga ratiba wa Ikulu wangepanga live ya Ikulu ianze saa 4:00 baada ya live ya Bunge, what does Ikulu stand to lose kwa kuanza saa 4:00?, unless watu kuapishwa nayo ni dharura!.

Najua ni kweli Ikulu ni muhimu, ila kiukweli kilichokuwa kinachofanyika ikulu ukilinganisha na kilichokuwa kinafanyika Bungeni, kile cha bungeni ni muhimu zaidi. Ikulu pia inawajibu wa kuliheshimu Bunge.

Hata hivyo hongera TBC kutuletea matangazo ya live ya ajali ya Walokole Moshi ambayo hii sasa ni live ya dharura kweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.

P
Ana unyonge gani huyo makufuri....?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani, leo katika kuwaapisha viongozi wapya aliowateua hivi karibuni, alikuwa anatiririka na data za mmoja mmoja kwa kutaja sifa zake huku akishusha hadi taarifa za majungu wanazopigwa baadhi ya watendaji wake wazuri, na kwa upande wa watendaji wanawake, rais Magufuli ana data hadi za majungu ya kutaka kuwahatarishia ndoa zao.

Anajua umri wao, anajua elimu zao hadi za watoto wao; hadi anawajua waume zao na kuwapongeza kuwa wake zao ni wachapa kazi waadilifu hivyo wanapigwa vita na majungu, na majungu mengine ni majungu hatarishi kwa ndoa zaa, hivyo amewapongeza hadi waume zao kwa kuwa ni watu wenye misimamo wasiosikiliza majungu hivyo ndoa hizo zimesimama.

Rais mwenye data za namna hii huwezi kumdanganya kitu. Swali linakuja: Kama rais yuko well-informed kiasi hiki na kuna viongozi anawafahamu vizuri hivi na ana data hivi kuhusu wateule wake, sasa inakuwaje katika baadhi ya maeneo kunatokea pangua pangua za muda mfupi as if sometimes huwa anafanya kama guess work mfano CG wa TRA?

Au inakuwaje kwa hawa baadhi ya watendaji wake ambao wanafanya madudu ya ajabu ajabu, lakini rais hapelekewi data hadi sasa Wamarekani ndiyo wanakuja kusaidia kuoneshea madudu ya baadhi wateule wake?!. Au wateule hao hizo tuhuma walituhumiwa na hao Wamarekani ni tuhuma za uongo tuu ndio maana tumezipuuza au kama tuhuma hizo ni kweli, ili serikali kuonyeshea is not part of it, ilibidi by now, iwe tayari imeisha ji distance nazo, inawezekana ukimya huu ni uthibitisho kuwa mtuhumiwa alitumwa hivyo alikuwa anatimiza wajibu wake baada ya kupokea amri halali na yeye kuzitekeleza?!.

By the way, pia naomba kutoa kero za kukatizwa kwa matangazo ya maana mhimili mmoja wa Bunge na kuletewa live za Ikulu kuingilia matangazo ya mihimili mingine!.

Nimefanya kazi RTD na TBC, hivyo nafahamu umuhimu wa kukatisha matangazo yoyote ya kawaida ili kuleta matangazo yoyote ya live ya tukio muhimu zaidi. Hivyo, TBC ipo huru kukatisha matangazo yake ya kawaida wakati wowote na kutuletea matangazo ya live za Ikulu ila katika kufanya hivyo, it's not fair kukatisha live muhimu za Bunge ambazo ni scheduled program ya kipindi cha Maswali na Majibu, ndiocho kipindi pekee, wabunge wetu ambao ni wawakilishi wetu sisi wananchi, wanauliza maswali tuliowatuma, halafu kutupeleka Ikulu kutuosha tukio ambalo sio la dharura na less significant la kuapishwa kwa viongozi wapya.

Usawa wa mihimili Uko Wapi?, au Kila Event ya Mhimili uliojichimbia chini zaidi ni Muhimu Kuliko Events za Mihimili Migine?.

Mihimili mitatu ya Dola, Serikali, Bunge na Mahakama, in principle inapaswa kuwa sawa, iheshimiane na kustahimiliana. Sasa kunapotokea mihimili yote hii mitatu inaendesha matukio yanayostahili kutangazwa live na TBC, ratiba za matukio hayo zipangwe ili hii mihimili iheshimiane. Kitendo cha kukatishwa kwa matangazo ya mhimili mmoja wa Bunge live, kwa ajili ya kuletewa matangazo ya live ya Mhimili mwingine wa serikali pale Ikulu si sawa na si haki hata kama muhimili mmoja umejichimbia zaidi lakini heshima ya mihimili ibaki pale pale!.

Nini muhimu kati ya live ya Bunge na live ya Ikulu?
Umuhimu wa tukio lolote unapimwa kwa significance, ukubwa na udharura.
Kila mtu anajua kuwa wakati wa kipindi cha vikao vya Bunge, TBC inafanya live ya dakika 60 ya kipindi cha maswali na majibu. Kwa vile Bunge ni Mhimili, wapanga ratiba wa shughuli za rais, wanapaswa kuliheshimu Bunge, hivyo kukitokea shughuli za rais zinazohitaji kutangazwa live kipindi cha Bunge, then Bunge lingepaswa kuheshimiwa, shughuli za rais zipangwe kuanza saa 4:00 asubuhi ili tusi disrupt matangazo ya Bunge live.

Japo Rais ndie mtu mkubwa kuliko wote, tukio la kuapisha viongozi wapi siyo tukio muhimu kivile ku-justify kukatika Bunge live ambalo ni la wananchi, kutuletea matangazo ya Ikulu ya mtu mmoja na wateule wake!

It is as if live za Bunge ambazo ziko scheduled zinatangazwa kwa hisani tu; likitokea lolote Ikulu, no matter tukio la Ikulu ni insignificant kiasi gani, matangazo ya Bunge yanakatishwa tunapelekwa Ikulu. Kama wapanga ratiba wa Ikulu wangepanga live ya Ikulu ianze saa 4:00 baada ya live ya Bunge, what does Ikulu stand to lose kwa kuanza saa 4:00?, unless watu kuapishwa nayo ni dharura!.

Najua ni kweli Ikulu ni muhimu, ila kiukweli kilichokuwa kinachofanyika ikulu ukilinganisha na kilichokuwa kinafanyika Bungeni, kile cha bungeni ni muhimu zaidi. Ikulu pia inawajibu wa kuliheshimu Bunge.

Hata hivyo hongera TBC kutuletea matangazo ya live ya ajali ya Walokole Moshi ambayo hii sasa ni live ya dharura kweli.

Nawatakia Jumatatu Njema.

P
Mr P..
1) Nadhani TBC ni Mali ya serikali na ndio wanalipwa kutoka huko... obviously wao wenyewe wanajiset kuegemea kwenye shughuli za boss wa serikali
2) Rais anapata taarifa zote muhimu na zisizo muhimu
3) Panga pangua hutokea kutokana na kufail Kwa mteuliwa ktk KAZI mpya...just because lukuvi ni waziri mahiri kwenye Ardhi sina hakika can do equally effectively akipewa Fedha, Uchumi na mipango.
4) Sipendi kuamini kwamba states za nje zinaweza kuwa na accurate information kuhusu Taifa letu kuliko Commander in chief wetu regardless of their brilliance in intelligence still our leader has the edge.
5) Tuwashauri wasaidizi wa Rais wafanye kila wawezalo kutimiza wajibu wao bila kutengeneza chuki na wananchi wa Kada Zote..by doing so watampa Rais KAZI nyepesi Sana.
 
Masanyiwa ngomango.

Tangia awamu ya nne imeingia,hakuna kitu kinaitwq utaratibu.Kila mwenye mamlaka anafanya yale yanayompendeza yeye ambayo hayataathiri Jiwe la magogoni.

Ni makosa makubwa kuvunja kipindi kisha kwenda kwenye kitu kingine hata kama ni ikulu live kwa sababu ratiba ya siku inapaswa iwe imepangwa mapema.Haya mambo ya kushtukiza ndio maana kunakuwa na underperformance, wangekuwa wanaiga SABC hawa kwa Africa wana ubora mkubwa katika vipindi vyao. Sisi tunaiga mambo ya kijinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko vizuri bro, na hiyo ndio fairness. Si vizuri kuonesha ubaya tu au uzuri tu wa mtu au kitu, ni vyema kuonesha vyote.
Unafiki ni pale unapokuwa unaona upande mmoja tu na ku ignore upande mwingine as if haupo. Kila mtu/kitu kina uzuri na ubaya wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani,

Nawatakia Jumatatu Njema.

P
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
Mshenzi tu huyo ngoja afukiwe ndiyo tujipange vizuri chini ya Mama Samia. Huyu kamwe asingeondoka kwa kura za kwenye sanduku.

Ule UJINGA aliifanya Oktoba 2020 wa kuiba uchaguzi wote UMEMKASIRISHA Mungu. Mungu ameingilia kati, nchi yetu ilikuwa inakwenda kuwa ya chuki kama za wahutu na watusi na kiuchumi tulikuwa tunakwenda kuwa sawa na Zimbabwe.

Sifa na utukufu tumrudishie Mwenyezi Mungu
 
Back
Top Bottom