Mnyika: Sichukui posho za kukaa "sitting allowance'

Usiwe **** unapojadili mada,tofautisha kati ya sitting allowance na posho ya kujikumu,anachokataa ni posho ya kusinzia bungeni,jana ulimwona mkuchika na nyoni walivyouchapa usingizi mwanzo mwisho,na wakitoka wanadaa sitting allowance,kweli magamba taaabu sana

Sahihisho liko wapi mkuu?me nimechangia kama mleta mada alivyoileta,mnyika kasema hachukui sitting allowance,kuna mtu akasema mnyika ni mnafiki aseme ni posho gani ambayo achukui,ndio nikamsahihisha kua asome vizuri kwanza hiyo post ndipo atamuelewa Mnyika alimaanisha nini!
 
Hapo kwenye red nina wasiwasi, either wewe reporter au Mnyika, mmoja wenu lazima anadanganya. Mnyika ameacha lini kuchukuwa posho ya vikao vya Bunge?
CHADEMA wananisikitisha sana jinsi walivyoshindwa kusimamia hoja hii, na nimegundua kwamba si hoja ya chama bali imebaki kuwa hoja ya Zitto, amaa kweli kuepuka vishawishi vya pesa ni ngumu.

kwa kweli hata mimi nimesikitishwa sana kwa jinsi chadema kama chama ilivyoshindwa kuwa na kauli moja kuhusu hoja hii, lakini ulitegemea nini kutoka kwa katibu mkuu ambaye aliweka maslahi yake binafsi kwanza alipotakiwa kutumikia chama katika kugombea nafasi ya urais? Akahakikisha ya kuwa analipwa mshahar unaofanana na mbunge; mbona CDM inaptuita tukaandamnae kuwa hatuweki vikao vya kujadili mslahai yetu kwanza?

Kwa haki ni chance ambayo CDM imeipoteza ya kujijenga miongoni mwa watanzania
 
Ukiacha kuvaa hicho kitambaa nitakujua kuwa umeacha kueneza uislamu!! shame!! upon all dirty brains that entertain religious and ethnicity marijuana Shame again shameee!!!

Hicho kilemba ni part ya vazi langu la Taifa. Sijui mwenzangu umeshamaliza mchakato wa kupata vazi lako la taifa?

Wewe ndie mdini au ulitaka nivae msalaba kifuani ndio nionekane sio mdini.

Litakuchwea.

 
John Mnyika, sichukui, Tundu Lissu, nachukuwa, Zitto Kabwe, sichukui, Freeman Mbowe, nachukuwa, Joseph Mbilinyi, nachukuwa, Godblees Lema, nachukuwa..

Hiki ndio chama makini cha siasa Tanzania Chadema. Kila mmoja na lake.

Umakini wa chama bado upo pale pale kwa kila mmoja kuweza kutenda kwa jinsi anavyoamini, tofauti na magamba ambapo mara baada ya kikao cha wabunge wa ccm kila mmoja huwajibika kutii amri
 
Napenda nikupongeze kwa uthubutu uliotukuka,hawa ndo viongoz na watawala tunao wahitaji kwenye Tanzania mpya tuitakayo nawala si viongozi wanaokimbizana na posho wakati wapiga kura wanakufa njaa,umasikini na maisha bora kwa kila mtanzania. Hivi kwa akili ya kawaida kama kiongozi na mwakilishi wa wananchi unajisikiaje pale wapiga kura wako wanapokuwa wanataabika kwa njaa halafu wewe unakula na kusaza? MWANAFALSAFA PLATO ALIPATA KUSEMA "BINADAMU KAMWE HATAONA MWISHO WA MATATIZO YAKE MPAKA PALE WENYE HEKIMA WATAKAPO TWAA MADARAKA YA KISIASA" Bila kujali itikadi zetu, kweli serikali ya ccm ni janga la Taifa.
 
Kumbuka kiuhasibu kuna utaratibu wa kurejesha pesa za Serikali pindi unapoona zimeingizwa kimakosa. sasa wao wabunge wa Chadema wanatumia utaratibu huo kuzirejesha. Au ndio wanatumia kwa matumizi binafsi kisha wanawaongopea magwanda wenzao kuwa hawachukui posho.

Kumbuka kuwa posho na mishahara yao yote inatumbukizwa kwenye account zao.

Kama sio wanafiki kwanini wasifuate utaratibu wa Zitto.

Kisebusebu na kiroho papo. Heko Zitto kabwe kwa kuwa mkweli na muwazi. Heko shibuda kwa kusimamia maneno yako.

Nafiliri uko sahihi wote wasiotaka kuchukua posho za kukaa "sitting allowances" wazirejeshe serikalini na kutupatia ushahidi huo.
 
Mimi sipati hata hiyo standing allowance, mwalimu, sijui kipi kanauma kukaa au kusimama na kumanufacture engineers.
 
attachment.php
 
kwa kweli hata mimi nimesikitishwa sana kwa jinsi chadema kama chama ilivyoshindwa kuwa na kauli moja kuhusu hoja hii, lakini ulitegemea nini kutoka kwa katibu mkuu ambaye aliweka maslahi yake binafsi kwanza alipotakiwa kutumikia chama katika kugombea nafasi ya urais? Akahakikisha ya kuwa analipwa mshahar unaofanana na mbunge; mbona CDM inaptuita tukaandamnae kuwa hatuweki vikao vya kujadili mslahai yetu kwanza?

Kwa haki ni chance ambayo CDM imeipoteza ya kujijenga miongoni mwa watanzania
Hapaunaongelea hoja gani mkuu?
Wewe uinaijua hoja ya CHADEMA kuhusu Posho? oja iliyopo kwenye Ilani yao?
Hoja mahususi ni ufutwaji wa posho za kukaa kwenye vikao ili fedha hizo ziwez kutumika kwenye maendeleo.

Hoja ya CHADEMA sio wabunge kukataa posho.
Swala la wabunge kukataa posho ni swala la wabunge binafsi, lakini the move is to stop paying stupid allowances wakati kuna watumishi wa ngazi za chini kama walimu wanateseka hawajalipwa stahili zao.

Kwa jinsi mnavyoongea, inaonyesha wazi hamjui chochote, wala hamuwezi kuelewa hata mkieleweshwa. Inasikitisha sana, kwasababu one can not urge reasonably here while some meat headed members present themselves as 'Much knows' while they dont know a damn thing.

Naona wengine wanamsifu Zitto, not because of the issue in hand but because to them; no, his name, belong to their 'group'. ................this makes me sick!!!
 
Hapa ndipo serikali ya CCM inapofurahia sisi wananchi tunapokuwa na migawanyiko tena ya kijinga.Suala la posho si la mtu mmoja ni suala linaloumiza na kuathiri maendeleo ya taifa letu,posho kwa wanasiasa,watendaji wa serikalini na mashirika ya umma ni wizi mtupu,sasa na sisi wananchi badala ya kujadili kwa kina ili kupata suluhisho la janga hili nasi twaingia kichwakichwa kwenye mtego na kuanza kujadili watu tena bila kuwa na suluhisho?!
 
Mnafiki mkubwa huyo

kwa mujibu wa katibu wa Bunge la Muungano Dr Kashilila ni Mh Zitto Kabwe pekee ambaye hajachukua posho zake . Wengine wote including Mbowe wanazilamba kama kawaida.

Aache unafiki aseme kweli, ni posho gani ambazo hachukui.

Shame on you Mnyika,unamdanganya nani wakati unaonekana hata ukichelewa ukakuta karats ya kusaini imepita unaiitisha,ni Mh Zitto tu ndo huwa hasaini,Lissu,Mbowe wote wanasaini.
 
Hapaunaongelea hoja gani mkuu?
Wewe uinaijua hoja ya CHADEMA kuhusu Posho? oja iliyopo kwenye Ilani yao?
Hoja mahususi ni ufutwaji wa posho za kukaa kwenye vikao ili fedha hizo ziwez kutumika kwenye maendeleo.

Hoja ya CHADEMA sio wabunge kukataa posho.
Swala la wabunge kukataa posho ni swala la wabunge binafsi, lakini the move is to stop paying stupid allowances wakati kuna watumishi wa ngazi za chini kama walimu wanateseka hawajalipwa stahili zao.

Kwa jinsi mnavyoongea, inaonyesha wazi hamjui chochote, wala hamuwezi kuelewa hata mkieleweshwa. Inasikitisha sana, kwasababu one can not urge reasonably here while some meat headed members present themselves as 'Much knows' while they dont know a damn thing.

Naona wengine wanamsifu Zitto, not because of the issue in hand but because to them; no, his name, belong to their 'group'. ................this makes me sick!!!

Nani alipaswa kuhakikisha kuwa chama (CDM) kinakuwa na kauli moja kuhusu suala "sitting allowance" na wabunge wanatenda kwa mujibu wa maagizo ya chama ama kupokea au kutookea hizo hizo posho kama sio mtendaji mkuu yaani Dr Slaa lakini tuseme ukweli hawezi kutimiza wajibu huo kwa sababu atakapojaribu kutekeleza wajibu huo wabunge wa CDM watamuuliza mbona wewe uliweka masharti ya kulipwa kipato sawa na wabunge kabla ya kukubali kupeperusha bendera ya CDM katika kinyanganyiro cha urais 2010.

Huo ni unafiki wa hali ya juu kwa CDM kuwa na sera ya kukataa sitting allowance halafu ikashindwa kuwasimamia wabunge watekeleze sera hiyo kwa vitendo.
 
Mnafiki yeye au wewe usiye elewa?amekuambia hachukui sitting allowance,alafu unaandika kua aseme ni posho gani ambazo hachukui!kweli kichwa kimejaa cement

sio cement pekee na hilo litambala alilojifunga kwichwani kafuga hadi akili
 
Back
Top Bottom