Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Mnyakyusa alipata bahati ya kutembelea mikoa ya Pwani na Zanzibar.
Aliporudi kwao akaanza kuwasimulia wenzake yale aliyo yaona huko safarini.
Ndugu sangu, fiasi hifi hifi tunafyolima hapa Makandana wana fila Zanzibar. Tanga usiseme, huko wanafila zaidi. Dar ndio balaa, wanafila hadi watoto. Mwe tusidishe juhudu tulime sana ili wensetu wakafile zaidi.
Aliporudi kwao akaanza kuwasimulia wenzake yale aliyo yaona huko safarini.
Ndugu sangu, fiasi hifi hifi tunafyolima hapa Makandana wana fila Zanzibar. Tanga usiseme, huko wanafila zaidi. Dar ndio balaa, wanafila hadi watoto. Mwe tusidishe juhudu tulime sana ili wensetu wakafile zaidi.