senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
hapo bado chivalavala M chivalavala
Ametajwa sana pitia post za nyuma hapo..kumbe wadau wengi mlikuwa wapenzi wa salam
hapo bado chivalavala M chivalavala
Hahaaaaaaa,Mwanakijiji..Umenikumbusha mbali sana ndugu yangu,umenikumbusha vipindi vya Jambo na Mchana Mwema(Pokea Salamu) pale Radio Tanzania bila kusahau kipindi cha usiku cha Kijaruba cha Abdallah Mlawa,hivi vilikuwa ni vipindi maarufu sana vya salamu...Ilikuwa ukisikiliza vipindi hivi ni lazima utakutana na majina haya
1.Issa Hasssan Madjeshi
2.Chidi Chidi Chitenda
3.Chivalavala wa Chivalavala
4.Limonga Justin Limonga
5.Duwa Wajadi
6.Wajadi Fundi
7.Mohammed Kassim Saibaba
8.Jai Sikinde
9.Maalim Shabani Uledi
10.Boko Man Mwana wa Mkongoman
Huyu wa juzi juzi huyu.husein makabureta!!!
Bokoman Mkongoman!
Umemsahau Alfonse Maji ya Pwani.Hahaaaaaaa,Mwanakijiji..Umenikumbusha mbali sana ndugu yangu,umenikumbusha vipindi vya Jambo na Mchana Mwema(Pokea Salamu) pale Radio Tanzania bila kusahau kipindi cha usiku cha Kijaruba cha Abdallah Mlawa,hivi vilikuwa ni vipindi maarufu sana vya salamu...Ilikuwa ukisikiliza vipindi hivi ni lazima utakutana na majina haya
1.Issa Hasssan Madjeshi
2.Chidi Chidi Chitenda
3.Chivalavala wa Chivalavala
4.Limonga Justin Limonga
5.Duwa Wajadi
6.Wajadi Fundi
7.Mohammed Kassim Saibaba
8.Jai Sikinde
9.Maalim Shabani Uledi
10.Boko Man Mwana wa Mkongoman
Kati ya hawa wote ni yupi tumtunze.. ningependa tumpate mmoja au wawili wao.. tuweze kuzungumza nao "live"..