Mnaosifia kupata mke mzuri ni kwa Wahehe na Wabena, hivi mmezunguka Nchi hii? Mabinti wanyaturu, wanyiramba, wambulu (wairaqw) na warangi mnawajua?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,081
1709148976025.png

1709148948836.png
1709147887203.png

1709147583324.png


jpg (8).jpeg

Nchi hii labda kama hujazunguka utakimbilia kuoa wahehe na wabena


Ukipata bahati ya kutembelea maeneo haya ni lazima utajitafakari upya

Dodoma - Warangi
Manyara - Wambulu (wairaqw)
Singida - wanyaturu na wanyiramba
 

Attachments

  • 1709149134540.png
    1709149134540.png
    738.6 KB · Views: 5
ndugu unaongelea mke au mwanamke?
mana vigezo ni tofauti!
bahati mbaya unaodhan tumewasahau ni tunawajua sana ila hawamo kundi la kupata mke.
ila kwa selfie ni daraja A.
mwanaume makini ana vigezo zaidi ya mwonekano linapokuja suala la kuhamisha mwanamke kuwa mke!
 
View attachment 2919510
View attachment 2919509View attachment 2919490
View attachment 2919487

View attachment 2919499
Nchi hii labda kama hujazunguka utakimbilia kuoa wahehe na wabena


Ukipata bahati ya kutembelea maeneo haya ni lazima utajitafakari upya

Dodoma - Warangi
Manyara - Wambulu (wairaqw)
Singida - wanyaturu na wanyiramba
Mke mzuri ina maana nyingi sio muonekano tu.....hayo maeneo uliyoyataja ni makao makuu ya chawote ,kuna mke na kuna viburudisho
 
Back
Top Bottom