Heshima kwenu wana jf! Nimeamua kuandk hili kutokana na baadhi ya watu kuonekana kukiponda CHADEMA (upinzan) kuwa hawana lolote,wanapinga kila ki2.naomba wanijb haya
1.serikali ya CCM bila upinzani inaenda?
2.ni chama gani kama siyo CHADEMA kinaonesha kutetea wananchi na kuikosoa serikali effectively?
3.bila upinzani hasa CHADEMA ungewezaje kutambua uozo wa serikali ya CCM?
Rai yangu
upinzani una nafasi kubwa kuikosoa serikali na kutetea wananchi.bila upinzani tanzania inge/takuwa screpa. CHADEMA Wameonesha ukomavu katika hili kuliko wapinzani toka vyama vingn na hili liko wazi!
VIVA CHADEMA! MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU KIBARIKI CHADEMA!
1.serikali ya CCM bila upinzani inaenda?
2.ni chama gani kama siyo CHADEMA kinaonesha kutetea wananchi na kuikosoa serikali effectively?
3.bila upinzani hasa CHADEMA ungewezaje kutambua uozo wa serikali ya CCM?
Rai yangu
upinzani una nafasi kubwa kuikosoa serikali na kutetea wananchi.bila upinzani tanzania inge/takuwa screpa. CHADEMA Wameonesha ukomavu katika hili kuliko wapinzani toka vyama vingn na hili liko wazi!
VIVA CHADEMA! MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU KIBARIKI CHADEMA!