Mnaopenda kumwagiwa ndani. Fikirieni hili

Kuna mabwege flani wananitishia tishia kuwa wana mimba zangu. Nikawaambia kama wanahakika ni mimba zangu walete au wawaambie watu wa bajaji waniletee home. Wakishndwa ndani ya masaa 24 wasije tena nigusia hizo hbr. Na namba zangu wafute
Hahaha..................waambie wakija mnapitiliza kwenda kwa Mkemia kupima DNA.

Hapo lazima walale mbele 😅
 
Back
Top Bottom