Mnaoagiza Magari Japan kuweni makini!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Kutokana na Radioactive zilizopatikana Taiwan kwenye maharage!!Yaliyoagizwa kutoka Japan Nidhahiri hivyo mionzi ya nyukilia itakuwa imesambaa sehemu nyingi za japan!Hivyo hata katika magari inaweza kuwemo ningeomba wanaoagiza magari wakwasiliana na idara ya mionzi ili kabla yakutumika hapa Tanzania yakaguliwe kwanza kama yana mionzi ya nyukilia!
 
Asante kwa taarifa Mkuu
Hivi hapa Bongo kuna idara ya mionzi na kama ipo inaweza kukagua na kujua kama baidhaa hii ina mionzi au la???? naomba kujulishwa tafadhali...
 
Kutokana na Radioactive zilizopatikana Taiwan kwenye maharage!!Yaliyoagizwa kutoka Japan Nidhahiri hivyo mionzi ya nyukilia itakuwa imesambaa sehemu nyingi za japan!Hivyo hata katika magari inaweza kuwemo ningeomba wanaoagiza magari wakwasiliana na idara ya mionzi ili kabla yakutumika hapa Tanzania yakaguliwe kwanza kama yana mionzi ya nyukilia!
Hoja nzuri, naomba kufaham hiyo mionzi huisha baada ya muda gani? Au ikifika imefika? Maana nakumbuka kuna taarifa ilitolewa kuwa kuna mionzi ilikuwa imefika katika maeneo ya bahari around 10 km ila wakasema stregth yake inapungua. Je, kwenye magari inakuwaje? Inang'ang'ania kwenye viti au sehem gani? Na inamaana haitaisha na vivyohivyo yale maeneo waliokuwa wanaishi raia hawatarudi tena?
 
Imagine yame magari yalio kua yana sombwa na maji, yakisha kuwa repaired yote yata letwa Africa huku tusio jali viwango na afya za watumizi.
 
Shirka la Mionzi au Tanzania Commission of Radiation lipo Arusha maeneo ya Sakina.
Ni zaidi ya miaka 17 tangu nifike hapo wakati viwanja vikiwa bado vinauzwa maeneo ya sakina kuzunguka shirika hilo.

Wale wapendao kitu ili mradi ni imported naona wanapata somo.

Fikiria kuhusu kurecycle chuma na plastic ambayo ni Radio active kisha kutengeneza Microwaves , majkofu,bicycles Toys na vyombo vingine vya majumbani.
Fikiria kwamba raw materiala yenye radio active kibao kupelekwa China Indonesia Malaysia n kwingineko kutengeneza utitili wa kila kitu.

Hapo ndipo kila mtu ikiwa ni pamoja na wajinga wanao dhani Technolojia si haki yetu waonapo umuhimu wa kujitegemea kuteknolojia.

Ujamaa si lazima na si jambo muhimu lakini kujitegemea ni jambo la lazima na muhimu kwa taifa lolote duniani.

Nchi za Third World zinalishwa sumu nyingi sana hasa zile za Heavy Metal kama Lead kupitia vyakula vinavyoingizwa kutoka nchi zenye viwanda na zisizo wajali walaji.

Kipimo chetu cha maendeleo kama Third World ni Ulukuki wa kuhodhi bidhaa agahali kutoka nje ya nchi zetu hasa zile zitokazo First world.

Umasikini mkubwa kuliko wote Duniani ni kudharau kilicho chako na zaidi ni kujidharau wewe mwenyewe na wajomba zako.

In Shor radiation hukaa katika kitu kilicho athirika fo Thousand of years, japo the first hundred or so years ndiyo time ya madhara makubwa. Kule FUKUSHIMA Japan wanatumia Plutonium katika kufua umeme wao hebu ona Half life ya Plutonium katika Jedwali.


RADIONUCLIDE HALF-LIFE

Radon-222 4 days
Iodine-131 8 days
Krypton-85 10 years
Tritium (Hydrogen-3) 12 years
Strontium-90 29 years
Cesium-137 30 years
Americium-241 433 years
Radium-226 1,622 years

Plutonium-239 24,000 years

 
Shirka la Mionzi au Tanzania Commission of Radiation lipo Arusha maeneo ya Sakina.
Ni zaidi ya miaka 17 tangu nifike hapo wakati viwanja vikiwa bado vinauzwa maeneo ya sakina kuzunguka shirika hilo.

Wale wapendao kitu ili mradi ni imported naona wanapata somo.

Fikiria kuhusu kurecycle chuma na plastic ambayo ni Radio active kisha kutengeneza Microwaves , majkofu,bicycles Toys na vyombo vingine vya majumbani.
Fikiria kwamba raw materiala yenye radio active kibao kupelekwa China Indonesia Malaysia n kwingineko kutengeneza utitili wa kila kitu.

Hapo ndipo kila mtu ikiwa ni pamoja na wajinga wanao dhani Technolojia si haki yetu waonapo umuhimu wa kujitegemea kuteknolojia.

Ujamaa si lazima na si jambo muhimu lakini kujitegemea ni jambo la lazima na muhimu kwa taifa lolote duniani.

Nchi za Third World zinalishwa sumu nyingi sana hasa zile za Heavy Metal kama Lead kupitia vyakula vinavyoingizwa kutoka nchi zenye viwanda na zisizo wajali walaji.

Kipimo chetu cha maendeleo kama Third World ni Ulukuki wa kuhodhi bidhaa agahali kutoka nje ya nchi zetu hasa zile zitokazo First world.

Umasikini mkubwa kuliko wote Duniani ni kudharau kilicho chako na zaidi ni kujidharau wewe mwenyewe na wajomba zako.

In Shor radiation hukaa katika kitu kilicho athirika fo Thousand of years, japo the first hundred or so years ndiyo time ya madhara makubwa. Kule FUKUSHIMA Japan wanatumia Plutonium katika kufua umeme wao hebu ona Half life ya Plutonium katika Jedwali.


RADIONUCLIDE HALF-LIFE

Radon-222 4 days
Iodine-131 8 days
Krypton-85 10 years
Tritium (Hydrogen-3) 12 years
Strontium-90 29 years
Cesium-137 30 years
Americium-241 433 years
Radium-226 1,622 years

Plutonium-239 24,000 years


....., my Almighty GOD!, I am speechless!:redfaces:
 
Imagine yame magari yalio kua yana sombwa na maji, yakisha kuwa repaired yote yata letwa Africa huku tusio jali viwango na afya za watumizi.

Ikumbukwe kuwa hata hayo magari ambayo yamekuwa yakiagizwa kabla ya Tsunami hatajui kabla ya kuletwa huku yalipatwa na mikasa gani.
 
Kutokana na Radioactive zilizopatikana Taiwan kwenye maharage!!Yaliyoagizwa kutoka Japan Nidhahiri hivyo mionzi ya nyukilia itakuwa imesambaa sehemu nyingi za japan!Hivyo hata katika magari inaweza kuwemo ningeomba wanaoagiza magari wakwasiliana na idara ya mionzi ili kabla yakutumika hapa Tanzania yakaguliwe kwanza kama yana mionzi ya nyukilia!
m-bongo unadhani anaweza kuathirika na hiyo mionzi? itawadhuru hao wenyewe huku mchakamchaka wa maisha tu ni zaidi ya mionzi ya nyuklia
 
Back
Top Bottom