Augustoons
JF-Expert Member
- Oct 31, 2007
- 409
- 30
Wakuu heshima mbele,
Siku chache zilizopita kulikuwa na thread hapa ikijadili kuhusu mfuo wa mawasiliano wa ikulu na mtumizi ya website au barua pepe,suala hili pia lilipata kuibuliwa kule bungeni.Niliufatilia sana mjadala huu japo sikuweza kutoa maoni yoyote.Kwa hakika sasa nimethibitisha ubabaishaji wa kurugenzi ya mawasiliano pale.Nimeshtuka sana pale nilipoona press release ya serikali kabisa ikitumia anwani ya @yahoo.com. Hivi kweli are we serious?serkali inashindwaje kuwa na domain name ya barua pepe kama hiyo @ikulu.go.tz?
Mimi kama mdau ambaye kwa kiasi fulani nimesoma mambo ya cyber crimes and law,moja ya vitu ambavyo hackers/scammers hutumia katika kuwadanganya watu ni hizi general public addresses like @gmail.com,@yahoo.com nk.na mara nyingi inashauriwa unapopokea tarifa inayoclaim kutoka ofisi fulani maalumuahalafu ofisi hiyo mawasiliano yake ni @yahoo.com au @gmail lazima uwe na mashaka kuhusu veracity yake.Nilipoingia katika website ya serikali leo,hiki ndicho nilichokutana nacho, na hii ni moja ya anwani niliyokutana nayo ikulumawasiliano@yahoo.com:
Siku chache zilizopita kulikuwa na thread hapa ikijadili kuhusu mfuo wa mawasiliano wa ikulu na mtumizi ya website au barua pepe,suala hili pia lilipata kuibuliwa kule bungeni.Niliufatilia sana mjadala huu japo sikuweza kutoa maoni yoyote.Kwa hakika sasa nimethibitisha ubabaishaji wa kurugenzi ya mawasiliano pale.Nimeshtuka sana pale nilipoona press release ya serikali kabisa ikitumia anwani ya @yahoo.com. Hivi kweli are we serious?serkali inashindwaje kuwa na domain name ya barua pepe kama hiyo @ikulu.go.tz?
Mimi kama mdau ambaye kwa kiasi fulani nimesoma mambo ya cyber crimes and law,moja ya vitu ambavyo hackers/scammers hutumia katika kuwadanganya watu ni hizi general public addresses like @gmail.com,@yahoo.com nk.na mara nyingi inashauriwa unapopokea tarifa inayoclaim kutoka ofisi fulani maalumuahalafu ofisi hiyo mawasiliano yake ni @yahoo.com au @gmail lazima uwe na mashaka kuhusu veracity yake.Nilipoingia katika website ya serikali leo,hiki ndicho nilichokutana nacho, na hii ni moja ya anwani niliyokutana nayo ikulumawasiliano@yahoo.com:
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA[/CENTER]
Telephone: 255-22-2114512 , 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENTS OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, amesema Marehemu Levy Mwanawasa wa Zambia ameishi na kuwatumikia wananchi wa Zambia kwa mapenzi, kujitolea, heshima na kwa dhati kubwa na wananchi wa Zambia wanaweza kumlipa hilo kwa kumuenzi katika matendo yake haya.
Rais Kikwete amewaambia waombolezaji katika viwanja vya bunge mjini Lusaka leo wakati wa Misa ya kumuombea Marehemu iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kimataifa, viongozi wa dini na wananchi kutoka sehemu mbalimbali nchini.
Ameishi maisha yake na kuwatumikia watu wake kwa mapenzi, heshima na kwa ustaarabu, kitu mnachoweza kumrudishia ni kumuenzi, fuateni na tekelezeni yale aliyobakiza.
Rais Kikwete ametoa salamu hizo kwa niaba ya viongozi wa Afrika watu wake na Tanzania ambapo amewaambia wananchi wa Zambia kuwa Mrehemu Mwanawasa alikuwa rafiki na mwenzake kama alivyokuwa kwa viongozi wengine katika ukanda huu na duniani kwa ujumla.
Yeye na mimi tulipatana sana kama ilivyo kawaida kwa viongozi wa nchi mbili rafiki na majirani, siku zote tulikuwa tunawasiliana na kila mara kulipotokea jambo linalotuhusu sote tulishauriana na kwa kweli utamaduni huu ulikwenda vizuri kwa faida ya nchi zetu mbili amesema na kumuelezea kuwa alikuwa kiongozi wa kutumainiwa na rafiki mkubwa kwa Watanzania, nchi jirani Afrika na dunia kwa ujumla na kwamba Tanzania na bara la Afrika limepoteza mtu muhimu.
Rais Kikwete amesema viongozi na waombolezaji wamekuja kutoka karibu na mbali na Zambia kuja kuwafariji wa Zambia na kumshukuru Mungu kwa maisha na aliyomjalia Mwanawasa.
Premi Kibanga,
Lusaka, Zambia
03 September, 2008
Are they serious au tuseme wamepitwa tu?(inadvertence)
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA[/CENTER]
Telephone: 255-22-2114512 , 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENTS OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, amesema Marehemu Levy Mwanawasa wa Zambia ameishi na kuwatumikia wananchi wa Zambia kwa mapenzi, kujitolea, heshima na kwa dhati kubwa na wananchi wa Zambia wanaweza kumlipa hilo kwa kumuenzi katika matendo yake haya.
Rais Kikwete amewaambia waombolezaji katika viwanja vya bunge mjini Lusaka leo wakati wa Misa ya kumuombea Marehemu iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kimataifa, viongozi wa dini na wananchi kutoka sehemu mbalimbali nchini.
Ameishi maisha yake na kuwatumikia watu wake kwa mapenzi, heshima na kwa ustaarabu, kitu mnachoweza kumrudishia ni kumuenzi, fuateni na tekelezeni yale aliyobakiza.
Rais Kikwete ametoa salamu hizo kwa niaba ya viongozi wa Afrika watu wake na Tanzania ambapo amewaambia wananchi wa Zambia kuwa Mrehemu Mwanawasa alikuwa rafiki na mwenzake kama alivyokuwa kwa viongozi wengine katika ukanda huu na duniani kwa ujumla.
Yeye na mimi tulipatana sana kama ilivyo kawaida kwa viongozi wa nchi mbili rafiki na majirani, siku zote tulikuwa tunawasiliana na kila mara kulipotokea jambo linalotuhusu sote tulishauriana na kwa kweli utamaduni huu ulikwenda vizuri kwa faida ya nchi zetu mbili amesema na kumuelezea kuwa alikuwa kiongozi wa kutumainiwa na rafiki mkubwa kwa Watanzania, nchi jirani Afrika na dunia kwa ujumla na kwamba Tanzania na bara la Afrika limepoteza mtu muhimu.
Rais Kikwete amesema viongozi na waombolezaji wamekuja kutoka karibu na mbali na Zambia kuja kuwafariji wa Zambia na kumshukuru Mungu kwa maisha na aliyomjalia Mwanawasa.
Premi Kibanga,
Lusaka, Zambia
03 September, 2008
Are they serious au tuseme wamepitwa tu?(inadvertence)