Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,708
Mimi napenda mke wangu anenepeane imeshindikana kwa namna yoyote!
Nampatia kila kitu nionacho chaweza kumsaidia lakini wapi,
Nakushangaa unavyolalamika.
basi fanyeni exchange
Mimi napenda mke wangu anenepeane imeshindikana kwa namna yoyote!
Nampatia kila kitu nionacho chaweza kumsaidia lakini wapi,
Nakushangaa unavyolalamika.
aisee hiyo changamoto
mnunulie kifaa cha mazoezi weka ndani kama baiskeli alafu unampandisha kwa nguvu
Acha kumsimanga mkeo kwa kunenepa,kwani hujui kuwa mwanamke akizaa anaongezeka?
Habari wana bodi.
Natumai hamjambo?
Naomba munisaidie mi nimeowa toka mwaka 2007 mke wangu alikua mwembamba ( kibasmati ) yaaani sio siri nampenda hadi kesho tatizo ni kua baada ya kujifungua mtoto wa kwanza mwaka 2009 alinenepa kiasi sikichukia sana ila nilimuambia sipendi awe mnene mambo yamezidi mara kumi alipojifungua mtoto wa 2 kawa kibonge mbuno huo tumbo limeengezeka balaa yaani hadi sijui nimfanyeje?
Mwanzoni nilikua nampangia malaji na naibana bajeti ya kula wakati tuko na mtoto 1 tena mchanga ila siku hizi siwezi maana nikibana bajeti nitaumiza watoto.
Nimemueleza kua ajipangie utaratibu na mpangilio wa vyakula lakini wapi hanielewi anaishia kuniambia kua hata alipokua mdogo alikua mnene sana alipungua alipokua mwari.
Mi kwa kweli sipendi mwanamke mnene nifanyeje?
Usiende nae mikumi kuna majangili hawaangaliagi vizuri kabla ya kufanya maamuzi.
naskitika kwamba ulipenda kibasmati na wala hukumpenda mke
naskitika kwamba ulipenda kibasmati na wala hukumpenda mke
kwani wewe wapenda vibonge?Kweli tumetofautiana...hupendi vibonge??
Usiende nae mikumi kuna majangili hawaangaliagi vizuri kabla ya kufanya maamuzi.
una maana gani?
Miss neddy umeniwahi aiseee,nami nilitaka kumwambia hivyohivyo.basi fanyeni exchange
kwani wewe wapenda vibonge?
una maana gani?
eti atapigwa na majangili akidhaniwa tembo loh!
Hahahahahaaaaaaa, eti watapiga risasi wakidhani ni tembo! Mkuu charger acha utani jamaa yupo serious, ohoooooo!
Acha kumsimanga mkeo kwa kunenepa,kwani hujui kuwa mwanamke akizaa anaongezeka?