Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,669
- 4,919
Ebu jaribu kutofautisha picha mbili hapo chini kwenye kila angle.
MAGUFULI akiwa Soko la Ferry, Dar es salaam
SAMIA akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora.
BINAFSI: Nimeshangaa kijiwe cha wanywa kahawa wanawake, sijawai kuona kijiwe cha kahawa cha wanawake. Pili utofauti niliouona na Sitting Position za marais, mmoja kakaa katikati ya wazee na rasta man (anaonekana ni mzee wa kumoka), na mwingine kakaa kiti cha peke yake akitizamana na wamama
MAGUFULI akiwa Soko la Ferry, Dar es salaam
SAMIA akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora.
BINAFSI: Nimeshangaa kijiwe cha wanywa kahawa wanawake, sijawai kuona kijiwe cha kahawa cha wanawake. Pili utofauti niliouona na Sitting Position za marais, mmoja kakaa katikati ya wazee na rasta man (anaonekana ni mzee wa kumoka), na mwingine kakaa kiti cha peke yake akitizamana na wamama