Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Jana kwenye taarifa ya habari itv, hawa Winlot wamesema kuwa tz ina mazingira mazuri ya kuchezesha bahati na sibu. Nikaenda mbali zaidi na kugundua kuwa wamefanya kautafiti wakagundua kuwa watz wana shida na hela ila hawana njia halali na za kuaminika za kujiongezea kipato. Mtz huwa anatembea akiota kuokota hela. Uchumi wa mtz uko mashakani kiasi kwamba wapo vultures wanaona kila uwezekano wa kuvuna kutokana na sintofahamu hizi za kiuchumi. Mtanzania usihadaike na hizi bahati na sibu