Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,093
Kuna mlipuko wa red eyes sehemu kubwa ya jiji la Dar.
Wizara kimya, Serikali kimya.
Hili nimeligundua baada ya dawa ya IVYDEXNEOCIN kuisha kwa kasi sana kwenye maduka ya dawa muhimu (pharmacies)
Dawa zote ambazo ni related to DEXAMETHASONE AND NEOMYCIN EYE/EAR DROPS zimenunuliwa kwa kasi sana na kuisha kwa muda mfupi sana hasa maeneo ya Mbagala, Kigamboni Mjimwema, Buguruni, Kitunda, Mwenge & Gongolamboto.
TAHADHARI:
Tuchukue tahadhari kwa kuwa wasafi na kuwa mbali na waathirika.
Kuwa makini kwenye mikusanyiko.
Wizara kimya, Serikali kimya.
Hili nimeligundua baada ya dawa ya IVYDEXNEOCIN kuisha kwa kasi sana kwenye maduka ya dawa muhimu (pharmacies)
Dawa zote ambazo ni related to DEXAMETHASONE AND NEOMYCIN EYE/EAR DROPS zimenunuliwa kwa kasi sana na kuisha kwa muda mfupi sana hasa maeneo ya Mbagala, Kigamboni Mjimwema, Buguruni, Kitunda, Mwenge & Gongolamboto.
TAHADHARI:
Tuchukue tahadhari kwa kuwa wasafi na kuwa mbali na waathirika.
Kuwa makini kwenye mikusanyiko.