Mliotamani chama kipya, jiungeni na ADC!

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Kuna watu ambao siku zote walikuwa wanaombea kianzishwe chama kipya eti chadema hakiwezi kudumu na hakina uwezo wa kuwa chama cha siasa mmoja kati ya hao ni Mwandishi wa Raia mwema ambae aliandika karibu Makala tano hivi zote ni majungu dhidi ya chadema huku akitaka kianzishwe chama kipya.

Japo kuwa lengo lao kuu la Anguko la chadema limeshindikana lakini lengo lao la kuanzishwa vyama vipya limetimia kwani kuna ADC na CCK nahisi wanaweza kwenda hata kugombea Uenyekiti au ukaitibu mkuu huko badala ya kila siku kuamkia kwenye mitandao nakuongea utumbo dhidi ya chadema kwani mmechelewa sana , kugundua kuwa chadema ni chama makini.
 
Nani kakwambia anguko la CHADEMA limeshindikana? Kuanguka kwa chama is a process, mwaka 1995 nani aliamini kuwa NCCR ya Mrema ingeangukia pua? Miaka michache iliyopita nani aliamini kuwa CUF itasambaratika?

It is only a matter of time hasa pale kampuni litakapokataa kubadili uongozi wake wa juu waliojihakikishia kuwa wao ndio wamiliki wa kampuni la CHADEMA.
 
Nani kakwambia anguko la CHADEMA limeshindikana? kuanguka kwa chama is a process, mwaka 1995 nani aliamini kuwa NCCR ya Mrema ingeangukia pua? miaka michache iliyopita nani aliamini kuwa CUF itasambaratika? is only a matter of time hasa pale kampuni litakapokataa kubadili uongozi wake wa juu waliojihakikishia kuwa wao ndio wamiliki wa kampuni la CHADEMA.



unataka tubadili uongozi wa juu ili tukuweke wewe?
 
Nani kakwambia anguko la CHADEMA limeshindikana? kuanguka kwa chama is a process, mwaka 1995 nani aliamini kuwa NCCR ya Mrema ingeangukia pua? miaka michache iliyopita nani aliamini kuwa CUF itasambaratika? is only a matter of time hasa pale kampuni litakapokataa kubadili uongozi wake wa juu waliojihakikishia kuwa wao ndio wamiliki wa kampuni la CHADEMA.

Anae subiria chadema ianguke na mfananisha na Fisi anaye mfwata binadamu nyuma akisubiri mkono uanguke ili auokote kumbe kwa binanadamu ni mbwembwe za kutembea tu.
 
Kuna watu ambao siku zote walikuwa wanaombea kianzishwe chama kipya eti chadema hakiwezi kudumu na hakina uwezo wa kuwa chama cha siasa mmoja kati ya hao ni Mwandishi wa Raia mwema ambae aliandika karibu Makara tano hivi zote ni majungu dhidi ya chadema huku akitaka kianzishwe chama kipya. Japo kuwa lengo lao kuu la Anguko la chadema limeshindikana lakini lengo lao la kuanzishwa vyama vipya limetimia kwani kuna ADC na CCK nahisi wanaweza kwenda hata kugombea Uenyekiti au ukaitibu mkuu huko badala ya kila siku kuamkia kwenye mitandao nakuongea utumbo dhidi ya chadema kwani mmechelewa sana , kugundua kuwa chadema ni chama makini.

Huyo mwandishi kanjanja anaitwa Mayage S. Mayage
 
Nani kakwambia anguko la CHADEMA limeshindikana? kuanguka kwa chama is a process, mwaka 1995 nani aliamini kuwa NCCR ya Mrema ingeangukia pua? miaka michache iliyopita nani aliamini kuwa CUF itasambaratika? is only a matter of time hasa pale kampuni litakapokataa kubadili uongozi wake wa juu waliojihakikishia kuwa wao ndio wamiliki wa kampuni la CHADEMA.

Wenye akili walikuwa wanajua NCCR na CUF wanakoelekea labda wewe tu.
 
Kuna watu ambao siku zote walikuwa wanaombea kianzishwe chama kipya eti chadema hakiwezi kudumu na hakina uwezo wa kuwa chama cha siasa mmoja kati ya hao ni Mwandishi wa Raia mwema ambae aliandika karibu Makara tano hivi zote ni majungu dhidi ya chadema huku akitaka kianzishwe chama kipya. Japo kuwa lengo lao kuu la Anguko la chadema limeshindikana lakini lengo lao la kuanzishwa vyama vipya limetimia kwani kuna ADC na CCK nahisi wanaweza kwenda hata kugombea Uenyekiti au ukaitibu mkuu huko badala ya kila siku kuamkia kwenye mitandao nakuongea utumbo dhidi ya chadema kwani mmechelewa sana , kugundua kuwa chadema ni chama makini.

Huy wa Raia Mwema ni mmoja ya waliopo kwenye pay roll ya Mafisadi.
 
Tuache ubishi usiokuwa wa maana tunatakiwa kurejea historia ya vyama vya upinzani Tanzania.Baada ya kuanzishwa mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992 na hatimaye kufanyika kwa uchaguzi ulioshirikisha vyama vingi 1995 ni chama cha NCCR MAGEUZI kilichokua chama kikuu cha upinzani kwa kupata wabunge wengi na kura nyingi za Urais. Mwaka 2000 - 2005,2005-2010 Prof Lipumba alikiongozaa chama cha cuf kwa kupata kura nyingi za Urais na Wabunge wengi ktk Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwaka 2010 Dr Slaa alikiongoza Chadema kupata kura nyingi za Urais na Wabunge wengi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.hoja ya msingi tokea kuanzishwa kwa vyama vingi kuna vyama vya upinzani vilikuwa na nguvu kubwa leo vimekufa,NCCR MAGEUZI ilikuwa na nguvu kubwa hadi kumkosesha usingizi Baba wa Taifa Jk Nyerere kuzunguka na kumpigia kampeni Ben mkapa ili CCM isianguke. Rais Msitafu Ben Mkapa alikiri hadharani kuwa CUF ilikuwa ikimnyima usingizi.Vyama vya upinzani vitaitisha Ccm kwa muda mfupi vinakufa na kuibuka chama kingine.Ccm itaiua Chadema na kuibua chama kingine chenye nguvu kati ya CCK au ADC.
 
ADC ni chama kilichokuja kurudisha matumaini ya Watanzania kuhusu mabadiliko ya nchi baada ya vyama vingine vyote vya Upinzani kushindwa kutimiza malengo ya kuwakomboa Watanzania.
Karibuni ADC - Dira ya Mabadiliko, Mkombozi wa Kweli wa Watanzania.
 
ADC, nini sera zake.
Wapi makao yake makuu,
Akina nani ndio viongozi wake wakuu,
Je kimeshapata usajili wa kudumu,
Nini DIRA ya ADC,
 
ADC, nini sera zake.
Wapi makao yake makuu,
Akina nani ndio viongozi wake wakuu,
Je kimeshapata usajili wa kudumu,
Nini DIRA ya ADC,

ADC ni chama cha kisiasa ambacho kimeshaomba kupatiwa usajili wa muda kwa sasa kinaongozwa na Mwenyekiti Mhe. Said Miraji na Katibu Mkuu Mhe. Kadawi Lucas Limbu.
Kwa sasa sera za ADC, Malengo ya ADC, Itikadi ya ADC na hata Ofisi Kuu(makao makuu) havingeweza kuwekwa hadharani kwa sababu kinasubiri kupatiwa usajili.
 
ADC ni chama kilichokuja kurudisha matumaini ya Watanzania kuhusu mabadiliko ya nchi baada ya vyama vingine vyote vya Upinzani kushindwa kutimiza malengo ya kuwakomboa Watanzania.
Karibuni ADC - Dira ya Mabadiliko, Mkombozi wa Kweli wa Watanzania.

ADC nashindwa kukitofautisha na Babu wa Loriondo.
 
ADC nashindwa kukitofautisha na Babu wa Loriondo.

Unaweza kuuficha ukweli lakini sio matokeo ya ukweli, nasikitika kwamba unakikataa kitu unachokielewa, ushahidi wa hili ni majibu yako na zaidi nimefurahi umefananisha ADC na BaBU wa Loliondo ambaye alikuja kuwapatia tiba wale walokata tamaa kwa maradhi waliyonayo. Tiba ya ADC uzuri wake ni endelevu na ya uhakika yenye kuponya kiukweli na inayowafuata wagonjwa walipo sio mgonjwa kuifuata.
 
Anae subiria chadema ianguke na mfananisha na Fisi anaye mfwata binadamu nyuma akisubiri mkono uanguke ili auokote kumbe kwa binanadamu ni mbwembwe za kutembea tu.

Kifo cha CHADEMA hakiko mbali kama unavyoshawishika kuamini. Kuna uwezakano mkubwa CCM wakamsimamisha mtu anatakayeungwa mkono na kanisa kama EL au mwungine, Kanisa likishatoa support yake, CDM inarudi ilikotoka! 2. Kuna manung'uniko mengi juu ya uendeshwaji wa CDM kama chama, tumeshaanza kusikia na viongozi wengine wameshatengwa! Hilo ni time-bomb lazima lilipuke kabla 2015!
 
Huu ni ujumbe murua kwa Mayage, kibaraka wa CCM! Mtoa hoja, naomba umwongezee dozi!
 
waende vipi na ni waroho wa madaraka ambao wanapend akwenda kwenye chama kilichopo madarakani
 
Kifo cha CHADEMA hakiko mbali kama unavyoshawishika kuamini. Kuna uwezakano mkubwa CCM wakamsimamisha mtu anatakayeungwa mkono na kanisa kama EL au mwungine, Kanisa likishatoa support yake, CDM inarudi ilikotoka! 2. Kuna manung'uniko mengi juu ya uendeshwaji wa CDM kama chama, tumeshaanza kusikia na viongozi wengine wameshatengwa! Hilo ni time-bomb lazima lilipuke kabla 2015!

Nakumbuka Mashekh walisema wataomba dua ya kuilaani chadema nilicheka sana kwani wewe na hao viongozi wako bado hamjajitambua kwa kuongea msivyo vijua.
 
ADC yenu ni wimbo ule ule wa CUF kwenye majukwaa tofauti

Mtangoja CDM ife haitawezekana ila sifa zake ndyo zinazidi kusambaa hadi vijijini hivi sasa Kijiji cha Ipelele ambacho hakina hata diwani wa CDM sasa kimefanya uchaguzi wa viongozi wa CDM ngazi ya kijiji kumbukeni hawa hawajahamasishwa kama inavyo fanyika mjini.

Hata mkilinganisha na NCCR au CUF sawa lakini kwa sasa ni zamu ya chama chenu kufa
 
Back
Top Bottom