DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Kuna watu ambao siku zote walikuwa wanaombea kianzishwe chama kipya eti chadema hakiwezi kudumu na hakina uwezo wa kuwa chama cha siasa mmoja kati ya hao ni Mwandishi wa Raia mwema ambae aliandika karibu Makala tano hivi zote ni majungu dhidi ya chadema huku akitaka kianzishwe chama kipya.
Japo kuwa lengo lao kuu la Anguko la chadema limeshindikana lakini lengo lao la kuanzishwa vyama vipya limetimia kwani kuna ADC na CCK nahisi wanaweza kwenda hata kugombea Uenyekiti au ukaitibu mkuu huko badala ya kila siku kuamkia kwenye mitandao nakuongea utumbo dhidi ya chadema kwani mmechelewa sana , kugundua kuwa chadema ni chama makini.
Japo kuwa lengo lao kuu la Anguko la chadema limeshindikana lakini lengo lao la kuanzishwa vyama vipya limetimia kwani kuna ADC na CCK nahisi wanaweza kwenda hata kugombea Uenyekiti au ukaitibu mkuu huko badala ya kila siku kuamkia kwenye mitandao nakuongea utumbo dhidi ya chadema kwani mmechelewa sana , kugundua kuwa chadema ni chama makini.