Mlioko arumeru

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Wale mlioko Arumeru tujulisheni mpaka sasa NASSARI Ameahidi kuwafanyia nini wana Arumeru kwa sababu humu kwa sababu vyombo vingi vya habari TV, REDIO na MAGAZETI vingi vimeripoti nini SIOI atawafanyia wana Arumeru hku vikiripoti Matusi ya CDMA kwa Serikali na Chama tawala jambo ambalo ndilo linaendelea hata humu JF ambako tulitegemea kupata taarifa za uhakika na sasa mambo ni tofauti kabisa , ni matusi kwa kwenda mbele. Jukwaa halina mvuto tena.
 
Wale mlioko Arumeru tujulisheni mpaka sasa NASSARI Ameahidi kuwafanyia nini wana Arumeru kwa sababu humu kwa sababu vyombo vingi vya habari TV, REDIO na MAGAZETI vingi vimeripoti nini SIOI atawafanyia wana Arumeru hku vikiripoti Matusi ya CDMA kwa Serikali na Chama tawala jambo ambalo ndilo linaendelea hata humu JF ambako tulitegemea kupata taarifa za uhakika na sasa mambo ni tofauti kabisa , ni matusi kwa kwenda mbele. Jukwaa halina mvuto tena.

Akili yako ni sawa na punje ya Ulezi
 
Wale mlioko Arumeru tujulisheni mpaka sasa NASSARI Ameahidi kuwafanyia nini wana Arumeru kwa sababu humu kwa sababu vyombo vingi vya habari TV, REDIO na MAGAZETI vingi vimeripoti nini SIOI atawafanyia wana Arumeru hku vikiripoti Matusi ya CDMA kwa Serikali na Chama tawala jambo ambalo ndilo linaendelea hata humu JF ambako tulitegemea kupata taarifa za uhakika na sasa mambo ni tofauti kabisa , ni matusi kwa kwenda mbele. Jukwaa halina mvuto tena.

ok vyombo vya habari vimeripoti sioi
1.Anataka ubunge ili afarijike kufuautia kifo cha baba yake
2.Anataka ubunge ili aweze kuitunza familia yake.
3.Anataka ubunge ili jk atabasam zaidi kwa sababu ndo aliyechagiza yeye achaguliwe na nec
Nassari anataka achaguliwe kuwa mbunge ili atatue kero za wameru zilizomshinda sumari sr na serikal ya magamba
 
Back
Top Bottom