Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Wale mlioko Arumeru tujulisheni mpaka sasa NASSARI Ameahidi kuwafanyia nini wana Arumeru kwa sababu humu kwa sababu vyombo vingi vya habari TV, REDIO na MAGAZETI vingi vimeripoti nini SIOI atawafanyia wana Arumeru hku vikiripoti Matusi ya CDMA kwa Serikali na Chama tawala jambo ambalo ndilo linaendelea hata humu JF ambako tulitegemea kupata taarifa za uhakika na sasa mambo ni tofauti kabisa , ni matusi kwa kwenda mbele. Jukwaa halina mvuto tena.