Roho Mbaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 777
- 670
Nipo maeneo ya Kijitonyama, nimesikia mlio mkubwa kama radi majira 3: 54 na umeme umekatika ghafla na kurudi muda huo huo.
Kwahiyo unatutaarifu au unatutahadharisha??Nipo maeneo ya Kijitonyama, nimesikia mlio mkubwa kama radi majira 3: 54 na umeme umekatika ghafla na kurudi muda huo huo.
Nipo maeneo ya Kijitonyama, nimesikia mlio mkubwa kama radi majira 3: 54 na umeme umekatika ghafla na kurudi muda huo huo.
Watakuwa ndugu zake Nkurunziza wamemfuata
Watakuwa ndugu zake Nkurunziza wamemfuata
Ni vizuri mkaanza kuuliza tatizo ni nini kabla hamjataja neno 'bomu'. Watanzania tumekuwaje, kila tusikiapo kitu kinapasuka tunakiita bomu? Je, transforma ulishawahi kuisikia ikilipuka siku moja? Habari kama hizi zaweza kuogofya watu, tuzichujeni kabla hatujazitoa!
Watakuwa ndugu zake Nkurunziza wamemfuata
Weka sauti ya huo mlio/mlipuko tutathimini...