Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,331
- 24,216
Sasa hivi ninavyoandika nimetokea njia ya Sam Nujoma, Ubungo kwenda Mwenge. Pale Mlimani City nilitaka kuingia na gari ili niingie benki.
Kwanza nikakuta foleni kubwa toka mataa ya kuingia Sinza.
Pili baada ya dakika 15 sikuweza kuingia Mlimani City kwa vile nimekuta polisi wengi na geti limefungwa.
Geti la pili kule kuelekea Survey ndio foleni tena ya kufa mtu.
Nikauliza nikaambiwa Mh Waziri Mkuu yumo ndani kuna function ya sijui kitu gani. Kwa akili ya kawaida najiuliza hivi waandaaji wanatumia akili kweli?
Utafungaje access ya business premises kwa ajili ya matukio ambayo yanawaathiri watu wengi na wasiohusika?
Hapo Mlimani, benki zinakosa wateja,
- Maduka ya aina yote yanakosa wateja
- Maduka ya simu na mawasiliano yanakosa wateja
- Migahawa inakosa wateja
Sijui tunafikiri kutumia nini?
Kwanza nikakuta foleni kubwa toka mataa ya kuingia Sinza.
Pili baada ya dakika 15 sikuweza kuingia Mlimani City kwa vile nimekuta polisi wengi na geti limefungwa.
Geti la pili kule kuelekea Survey ndio foleni tena ya kufa mtu.
Nikauliza nikaambiwa Mh Waziri Mkuu yumo ndani kuna function ya sijui kitu gani. Kwa akili ya kawaida najiuliza hivi waandaaji wanatumia akili kweli?
Utafungaje access ya business premises kwa ajili ya matukio ambayo yanawaathiri watu wengi na wasiohusika?
Hapo Mlimani, benki zinakosa wateja,
- Maduka ya aina yote yanakosa wateja
- Maduka ya simu na mawasiliano yanakosa wateja
- Migahawa inakosa wateja
Sijui tunafikiri kutumia nini?