Mkwawa,kinjeketile,mangungo na viongozi wa sasa

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Najaribu kuwafananisha viongozi nilowataja hapo juu,,,,hasa wale wa enzi za kabla na baada ya ukoloni na hawa ambao wanatutawala sasa,,,,,mkwawa alipigana na wajeruman akipinga kutawaliwa na wazungu,,,,,kinjeketile alipigana na wajeruman akipinga ardhi kuchukuliwa na wajerumani,mangungo aliwapa wajeruman ardhi kwa kusain mkataba asoujua maana hakusoma,,,,,
baada ya kupata uhuru,,,hasa zama hizi,,,tunaona watawala wanawaita wazungu including wale walopigana na akina mkwawa,,,wajer wachukue rasilimali zote including ardhi,,,,,sasa nauliza nani alikua na busara au nani mwenye busara????
 
Back
Top Bottom