Nyerere hakuwa DC, alikuwa Rais!!! Mwenye nguvu za kusamehe hata wafungwaKuna kesi miaka ya nyuma ilitokea kuhusu wizi wa mbolea,watu walibomoa ghara la mbolea na kuiba,wakaenda kuweka hiyo mbolea kwenye mashamba yao,baadae upelelezi ukafanyika na wakagundulika na kukamatwa woote na kutiwa ndani, baadae mwl nyerere akawa ziarani hilo eneo,akaisikia hiyo hbr,alichokifanya ni kuamuru watolewa ndani hao wezi mala moja,na mabwana shamba waliokuwa wakihusika na kugawa hiyo mbolea woote akaamuru watiwe ndani kw kuchelewesha kuigawa hiyo mbolea wkt wakulima wanaihitaji,