Awuot
JF-Expert Member
- Nov 10, 2018
- 1,172
- 1,400
Mzito Kabwela si upande nyasi bandia au unaogopa kupandishwa kwa pilato kama kina Anspop kwa kukwepa kodi? Hahahaha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzito Kabwela si upande nyasi bandia au unaogopa kupandishwa kwa pilato kama kina Anspop kwa kukwepa kodi? Hahahaha!!
Kabisa mkuu shetani kashindwa vibaya sanaWizi wao wa kuchota mahela ya wastafu umegoma wanataka kulitumia kama kick ki siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na alieandaa maandamano hayo ni PhD holder my former lecturer Dr rehema nchimbiYani nchi inaongozwa na washamba kuanzia juu hadi chini; wanampongeza wakati ni yeye alikuwa amesababisha tatizo!
Kabisa mkuu shetani kashindwa vibaya sanaWizi wao wa kuchota mahela ya wastafu umegoma wanataka kulitumia kama kick ki siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa anatuchosha saaana waTzKabisa naona
Kabisa mkuu shetani kashindwa vibaya sana
Sifa za kipumbavu kabisa yani nchi inaendeshwa kimasifasifa ya kijinga wanasiasa wanawatumia watumishi kama ngazi hakuna mtumishi atakae msifu magufuli kwaajili ya kikokotoo wakati ni tatizo amelitengeneza mwenyewe ili alitatue asifiwe huuu ni upumbavu mtumishi mshahara umesimama toka uingie madarakani halafu eti akusifu ujinga huu watumishi acheni kuendeshwa kingesewakuu wa idara nimeagizwa niwafahamishe kwamba muwafahamishe watumishi waliochini yenu kwamba kesho saa tatu asubuhi tuwe mnazi mmoja kumpongeza mh Rais kufuta kikokotoo.hakikisheni ofisini kwenu kuna minimum services
Hii ni Dsm, Hahahaah Tz
Sent using Jamii Forums mobile app
PhD za kwetu hizi hata lugha ya PhD ni mitihani mzito !!!!Na alieandaa maandamano hayo ni PhD holder my former lecturer Dr rehema nchimbi
Hawana choice .Sifa za kipumbavu kabisa yani nchi inaendeshwa kimasifasifa ya kijinga wanasiasa wanawatumia watumishi kama ngazi hakuna mtumishi atakae msifu magufuli kwaajili ya kikokotoo wakati ni tatizo amelitengeneza mwenyewe ili alitatue asifiwe huuu ni upumbavu mtumishi mshahara umesimama toka uingie madarakani halafu eti akusifu ujinga huu watumishi acheni kuendeshwa kingese
Watumishi unawajumuisha huko pia?Ha
Hasa kijani kibichi
Da nchi yangu jamani wakati wa kampeni anzeni Kuwananga watumishi hawa wajinga
uamuzi wa rufaa uliojaa huruma nyingi taifa la wajinga hiloStay tuned!!
Mkuu wa mkoa singida Dr Rehema Nchimbi amewaandikia wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani singida kuwaelekeza wakuu wa idara na taasisi zote za serikali kwa nyanja zote, waende wakaungane naye mjini singida Leo ktk maandamano.
Maandamano hayo ya RC na watumishi hao wa umma ni kumpongeza Mheshimiwa Magufuli kwa uamuzi wa busara na uliojaa huruma nyingi kwa watumishi juu kikokotoo.
Maandamano hayo yataanzia bomani kwa ofisi ya mkuu Huyo wa mkoa Leo mchana.
Nchi hii kuna vituko vingi sanaHakuna watu tupo katika wakati MGUMU kama wakuu wa idara maana hapo ukishindwa tu kupeleka watu utapata msuko suko usioutarajia
Sent using Jamii Forums mobile app
Phd holder wa tanzania hana tofauti na mwanafunzi aliekimbia shule darasa la nne, inasikitisha sanaNa alieandaa maandamano hayo ni PhD holder my former lecturer Dr rehema nchimbi
Hatari