johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Mkuu wa mkoa wa Mtwara amewatembelea vijana wenye mitambo ya kienyeji ya kuzalisha pombe ya gongo kwa kutumia mabibo.
RC huyo amefurahishwa na ubunifu wa vijana hao na kuchukua sampuli ya gongo hiyo yenye madaraja matatu kwa ajili ya uchunguzi wa kimaabara.
Endapo wataalamu wa maabara wataipitisha basi gongo mkoani Mtwara itarasimishwa na vijana hao watawezeshwa na taasisi za kifedha ili waweze kujenga viwanda vidogo.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama.
=====
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa wananchi wanaojihusisha na utengenezaji wa pombe aina ya gongo ya mabibo kujitokeza ili watambuliwe na bidhaa hiyo iweze kuboreshwa na kuingizwa sokoni.
RC huyo amefurahishwa na ubunifu wa vijana hao na kuchukua sampuli ya gongo hiyo yenye madaraja matatu kwa ajili ya uchunguzi wa kimaabara.
Endapo wataalamu wa maabara wataipitisha basi gongo mkoani Mtwara itarasimishwa na vijana hao watawezeshwa na taasisi za kifedha ili waweze kujenga viwanda vidogo.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama.
=====
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa wananchi wanaojihusisha na utengenezaji wa pombe aina ya gongo ya mabibo kujitokeza ili watambuliwe na bidhaa hiyo iweze kuboreshwa na kuingizwa sokoni.