Umenikosea sana Mkuu, sitaki kukuona tena kwangu.mkuu ulivyonambia nijisikie nipo nyumbani ulikua na maana gani na ya nini mkuu?
Umenikosea sana Mkuu, usije tena kwangu.Ndio uje uniongee huku?
Umenikosea sana Mkuu, sitaki kukuona tena kwangu.Pilau Ni ndogo mkuu inanitosha mim na familia mkuu
Acha uchoyo ndugu.Nakualika kama mtu wa karibu.
Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli?
Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako.
SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO WAKO WA MWISHO SITAKI KUKUONA TENA KWANGU.
Mkuu sitaki kukuona tena kwangu.Unajua nakuja kwako unaweka chakula kidogo, upo sawa kweli..!?
Tena shukuru nilipitia kwa mama ntilie... Leo ungeshinda njaa pumbavu....
😂😂...ulifikiri mimi kijana wa Dar? Yaani nyanda ya Kinyantuzu uilishe kasahani kamoja?Umenikosea sana Mkuu, usije tena kwangu.
Mkuu sitaki kukuona tena kwangu....ulifikiri mimi kijana wa Dar?
Mkuu sitaki kukuona tena kwangu.Mkuu tena hata sikua na njaa nimetoka home nikiwa nimekula chapati sita tu.
Sawa Lolo..ila nitakuwa akiwa shemejiMkuu, sitaki kukuona tena kwangu.
Umenikosea sana Mkuu, sitaki kukuona tena kwangu.Hatuli kushiba tunakula kuliza
basi nisamewe halafu .nyoosha kiswahili mi nikijiskia nipo nyumban si nafanya loloteUmenikosea sana Mkuu, sitaki kukuona tena kwangu.
🤣🤣🤣🤣🌅Nakualika kama mtu wa karibu.
Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli?
Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako.
SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO WAKO WA MWISHO SITAKI KUKUONA TENA KWANGU.