Naombeni wasifu wa January Makamba

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
attachment.php

Wakuu wangu naombeni kwa moyo mmoja kabisa mnisaidie kwenye hili,siku hizi hatupati zile tv za ITV na Star tv, na nyinginezo, tuinapata TBC na radio zao peke yake.

Kasa tumeonyeshwa huyu mkuu akiwa anahojiwa na baadhi ya watangazaji mahiri wa Tbc ambayo tunatazama bila kupenda! Mkuu huyu alihojiwa kwenye ofisi yake iliyosheheni mavitabu ya kila aina yakiwemo ya sheria na hadith mbalimbali.

Kwa bahati nzuri au mbaya huyu mkuu nimeishi naye jirani maeneo ya mianzini pale Arusha na ulitokea ugomvi kati yake na mpangaji mwenzake nafikiri yalikuwa mambo ya mademu,alifukuzwa nyumba ile na kutia timu maeneo ya sakina ambako sikumwona tena mpaka nilipokuja kustuka kumwona bungeni!

Wakuu naombeni mwenye cv ya huyu kiongozi anipatie kwa sababu nimepatwa na maswali kutokana na stahili yake ya kukusanya mavitabu mengi na kupiga picha mbele yake,haya niliyaonaga kulele CNN wanapohoji wazito kama wakina baraka obama au bill clinton wanatokea mbele ya mavitabu kibao

Naombeni wakuu wangu nijue elimu ya huyu kiongozi mahiri kabisa anayekuja na stahili ya watazamaji kujiuliza mara mbili mbili.
 
Nipo na hamu zaidi kujua majina ya hivyo vitabu hapo nyuma.

Una picha nzuri zaidi yenye kusomeka majina ya hivyo vitabu?
 
Nipo na hamu zaidi kujua majina ya hivyo vitabu hapo nyuma.

Una picha nzuri zaidi yenye kusomeka majina ya hivyo vitabu?


Gaijing unajua hiyo picha nilipiga kutoka kwenye Tv,lakini wakati nasoma hivyo vitabu hapo nyuma niliona viwili vimeandikwa kiarabu na kimoja hadith za shigongo halafu nikafanikiwa kuona kimoja kimeandikwa law,sikuweza kusoma zaidi kwa kuwa walitoa muda ulikwisha
 
Gaijing unajua hiyo picha nilipiga kutoka kwenye Tv,lakini wakati nasoma hivyo vitabu hapo nyuma niliona viwili vimeandikwa kiarabu na kimoja hadith za shigongo halafu nikafanikiwa kuona kimoja kimeandikwa law,sikuweza kusoma zaidi kwa kuwa walitoa muda ulikwisha

mkuu ni kweli hiyo??
 
Hahahahaaaaa........Dah!! Wa bongo kweli Sisi sote Ni wanasiasa....kifupi jamaa kweli hizo Ni tekniki tu Hamna jipya, kwa umri wake na malezi yetu cc ya kitanzania labda Aseme alikuwa library na sio ofisini Kwake.......asitudanyanye hata kidogo angekuwa Ni baba yake hapo sawa kwani kwa Saundi za Yule mzee yusuf na anavyojua kuchambua kiaina baibo japo yy Ni Muslim kidogo unaweza ukajaa kwny 18zake lakini kwa January!!! Mmh! Full usanii hapo.
 
nchi ilishauzwa hii ulitegemea nini baada ya kutoka kwa Tido Mhando? Acha bwana, siku hizi hata AFCON kuiona mpaka uichungulie UBC
 
Nani asome vitabu hivyo wakati wabongo tunasomea mitihani labda kama alikuwa anajiandaa na paper
 
Gaijing unajua hiyo picha nilipiga kutoka kwenye Tv,lakini wakati nasoma hivyo vitabu hapo nyuma niliona viwili vimeandikwa kiarabu na kimoja hadith za shigongo halafu nikafanikiwa kuona kimoja kimeandikwa law,sikuweza kusoma zaidi kwa kuwa walitoa muda ulikwisha

Mkuu hii ni kweli au basi tu umeamua kumharibia
 
Nipo na hamu zaidi kujua majina ya hivyo vitabu hapo nyuma.

Una picha nzuri zaidi yenye kusomeka majina ya hivyo vitabu?
Nimeona majina ya vitabu vifuatavyo

Republic/Plato
Wealth of Nations
From third to First World
48 Laws of Power
Nicomechian Ethics-Aristotle
From Promise to Power/Obama
Leading Change
Great Lakes of Africa
The Prisoner of the State
 
Nimeona majina ya vitabu vifuatavyo

Republic/Plato
Wealth of Nations
From third to First World
48 Laws of Power
Nicomechian Ethics
From Promise to Power/Obama
Leading Change
Great Lakes of Africa
The Prisoner of the State

kweli mkuu una macha makali,tunaomba mtu atupanile hiyo picha kidogo iwe kubwa
 

Wakuu wangu naombeni kwa moyo mmoja kabisa mnisaidie kwenye hili,siku hizi hatupati zile tv za ITV na Star tv, na nyinginezo,tuinapata TBC na radio zao peke yake
sasa tumeonyeshwa huyu mkuu akiwa anahojiwa na baadhi ya watangazaji mahiri wa Tbc ambayo tunatazama bila kupenda!mkuu huyu alihojiwa kwenye ofisi yake iliyosheheni mavitabu ya kila aina yakiwemo ya sheria na hadith mbalimbali,
kwa bahati nzuri au mbaya huyu mkuu nimeishi naye jirani maeneo ya mianzini pale Arusha na ulitokea ugomvi kati yake na mpangaji mwenzake nafikiri yalikuwa mambo ya mademu,alifukuzwa nyumba ile na kutia timu maeneo ya sakina ambako sikumwona tena mpaka nilipokuja kustuka kumwona bungeni!
wakuu naombeni mwenye cv ya huyu kiongozi anipatie kwa sababu nimepatwa na maswali kutokana na stahili yake ya kukusanya mavitabu mengi na kupiga picha mbele yake,haya niliyaonaga kulele CNN wanapohoji wazito kama wakina baraka obama au bill clinton wanatokea mbele ya mavitabu kibao
naombeni wakuu wangu nijue elimu ya huyu kiongozi mahiri kabisa anayekuja na stahili ya watazamaji kujiuliza mara mbili mbili!!


Mkuu acha kuweweseka.

Huyu jamaa hajawahi kuishi hiyo mitaa unayosema. Amesoma Galanos na amefanya kazi makambi ya Wakimbizi wa Ngara na Kigoma, Carter Foundation. Kasoma George Mason University, ni diplomat wa daraja la II (Tafuta kabrasha wizara ya mambo ya nje kama uko interested). Amewahi kuwa speech writer wa JK kwa miaka mitano. (Uwezo wake umesimama kama utalinganisha speech za JK za miaka mitano iliyopita na hizi za sasa). Plus, vitabu unasema vya mashairi na Shigongo? Kijana ni mwamndishi mzuri, tazama hii video utajua vitabu ni vya aina gani Hon. January Y. Makamba on TANESCO's 40.29% electricity charges hike.avi - YouTube
Mwisho kabisa January ni mfano wa kuigwa, jipange ukitaka kuchafua vijana wa sampuli hii.

GTI
 
Mkuu acha kuweweseka.

Huyu jamaa hajawahi kuishi hiyo mitaa unayosema. Amesoma Galanos na amefanya kazi makambi ya Wakimbizi wa Ngara na Kigoma, Carter Foundation. Kasoma George Mason University, ni diplomat wa daraja la II (Tafuta kabrasha wizara ya mambo ya nje kama uko interested). Amewahi kuwa speech writer wa JK kwa miaka mitano. (Uwezo wake umesimama kama utalinganisha speech za JK za miaka mitano iliyopita na hizi za sasa). Plus, vitabu unasema vya mashairi na Shigongo? Kijana ni mwamndishi mzuri, tazama hii video utajua vitabu ni vya aina gani Hon. January Y. Makamba on TANESCO's 40.29% electricity charges hike.avi - YouTube
Mwisho kabisa January ni mfano wa kuigwa, jipange ukitaka kuchafua vijana wa sampuli hii.

GTI

mkuu mbona mnatuchanganya manake unakuja na mambo tofauti na yaliyoletwa na mtoa hoja,,au umesoma taarifa zake mwenye vitabu labda humjui undani wake?
 
Hapo haku mada.
Hii si ni home work yenu tu kutafuta CV ya mtu.
Hata hapo kwenye website ya Bunge utapata.

Acha uzembe na woga wa vitabu
Nimeona majina ya vitabu vifuatavyo

Republic/Plato
Wealth of Nations
From third to First World
48 Laws of Power
Nicomechian Ethics-Aristotle
From Promise to Power/Obama
Leading Change
Great Lakes of Africa
The Prisoner of the State
 
mkuu mbona mnatuchanganya manake unakuja na mambo tofauti na yaliyoletwa na mtoa hoja,,au umesoma taarifa zake mwenye vitabu labda humjui undani wake?

Amejichanganya nini wakati amejibu kulingana na swali? Kama alivyosema GT, mkitaka kuwachafua watu wa aina ya January ni vizuri mjipange na hoja zenye mashiko!!!
 
hahah kweli JF ni kiboko.. unafikiri hayo mavitabu keshayasoma yote? halafu facebook na twitter akae nani?
 
Mkuu acha kuweweseka.

Huyu jamaa hajawahi kuishi hiyo mitaa unayosema. Amesoma Galanos na amefanya kazi makambi ya Wakimbizi wa Ngara na Kigoma, Carter Foundation. Kasoma George Mason University, ni diplomat wa daraja la II (Tafuta kabrasha wizara ya mambo ya nje kama uko interested). Amewahi kuwa speech writer wa JK kwa miaka mitano. (Uwezo wake umesimama kama utalinganisha speech za JK za miaka mitano iliyopita na hizi za sasa). Plus, vitabu unasema vya mashairi na Shigongo? Kijana ni mwamndishi mzuri, tazama hii video utajua vitabu ni vya aina gani Hon. January Y. Makamba on TANESCO's 40.29% electricity charges hike.avi - YouTube
Mwisho kabisa January ni mfano wa kuigwa, jipange ukitaka kuchafua vijana wa sampuli hii.

GTI
Eti naskia Galanos alifutiwa matokea kwa kuiba mitihani na kuangalizia...

Ya kweli hayo?? Kwa vile inaonyesha unamjua vizuri hebu tujuze basi. Ni vizuri kumuweka kwenye scrutiny sana ili huko mbele awe free na hizi kashfa.
 
Back
Top Bottom