Wakiwa wamejipanga kumsikiliza mgombea wa Chadema Bw. Joshua Nassari wananchi wa Usa River eneo la Leganga wamevamiwa na Polisi Na kupigwa na mabomu yasiyo hesabika. madai ni kwamba Leo ilikuwa zamu ya CCM. sina uhakika sana na Madai ya Chama tawala.
Update:
Leo CCM walikuwa wana mkutano wao eneo LA Usa River (Usa Juu) maarufu Site. Chadema walikuwa na mkutano wao Leganga, CCM baada ya kuona mkutano wao utakosa watu ndipo wakafanya hujuma kupitia Polisi kuwafurusha Chadema Leganga ili wao wapate watu Usa River. Hata hivyo Chadema hawakukata Tamaa wamefanyia mkutano wao eneo la Kilala.
Update:
Leo CCM walikuwa wana mkutano wao eneo LA Usa River (Usa Juu) maarufu Site. Chadema walikuwa na mkutano wao Leganga, CCM baada ya kuona mkutano wao utakosa watu ndipo wakafanya hujuma kupitia Polisi kuwafurusha Chadema Leganga ili wao wapate watu Usa River. Hata hivyo Chadema hawakukata Tamaa wamefanyia mkutano wao eneo la Kilala.