Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,008
- 13,733
Suzane ndo kakamata mic kwa sasa, anasema pesa zinazotolewa na serekali kuu kwa ajili ya maendeleo ya mikoa, mkoa wa morogoro ndo unapata mgao mdogo wakati unachukua 8% ya ardhi yote ya tz. Data anazo,anatusomea...operation sangara itaanza rasmi mkoani hapa trh 4 august