Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
...ndowano ya M4C imewakabaa koo...kheri warudi bungeni wakagonge meza...
mkuu tunashukuru kwa picha. Nappe hakawii kuja humu na IDs mchanganyiko kujitapa kwamba alijaza watu.!
Nami niko hapa eneo la tukio; ni kituko kama hiki ndio chama tawala; Ama kweli mwisho wa CCM sio 2015 bali ni sasa;
wana JF hapa kuna watu wachache mno tena waliovalishwa sare za kijani. tulivalia kiraia tunahesabika
kwetu sisi komba nikimnyama kidogo chenye tabia yakunywa mnazi na kikshalewa kinaanguka kutoka juu ya mnazi adi chini.