PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Kwa takribani siku 2 Mji wa Bukoba hauna usafiri wa Hiace kutoka na kuingia mjini.
Wenye magari hayo ya abiria wamegomea ushuru wa Tshs 2000 wanaotozwa kila gari linapopakia abiria stand.
Wanataka kulipa fedha mara moja tu, stand iboreshwe kwa kuweka huduma na miundombinu muhimu. Madai yao haya ni halali. Pia, sumatra nao hawakwepi hili kwa kutoibana Manispaa kutatua mgogoro huu.
Wananchi wanaingia gharama ya kukodi magari na hata kutembea kwa miguu kwa umbali wa kati ya km 3 hadi 10.
Wenye magari hayo ya abiria wamegomea ushuru wa Tshs 2000 wanaotozwa kila gari linapopakia abiria stand.
Wanataka kulipa fedha mara moja tu, stand iboreshwe kwa kuweka huduma na miundombinu muhimu. Madai yao haya ni halali. Pia, sumatra nao hawakwepi hili kwa kutoibana Manispaa kutatua mgogoro huu.
Wananchi wanaingia gharama ya kukodi magari na hata kutembea kwa miguu kwa umbali wa kati ya km 3 hadi 10.