Mkullo anamuogopa Zitto?

Dar_Millionaire

JF-Expert Member
Aug 6, 2008
227
82
Wana-JF,

Nimegundua tovuti mbili muhimu kwa masuala ya fedha na uchumi hapa nchini hazipatikani kwa kama wiki moja sasa.

Tovuti hizo ni za Wizara ya Fedha - http://www.mof.go.tz na Benki Kuu http://www.bot-tz.org

Sina uhakika kwa nini tovuti hizi nyeti zimepotea hewani. Isije ikawa tunakosa data kutokana na vita inayoendelea kati ya Zitto na Mkullo.

Sitaki kuamini kwamba taasisi hizi zimekosa wataalam wa kuhakikisha tovuti zao ziko hewani muda wote.
 
Huiyo mkolo ni muiungo mie ni mfanyakazi wa serikali hii na nimelipwa mshahara wa April kwenye tarehe anaazosema Zitto huo ndi ukweli wenyewe maneno ya mkulo kuwa amelipa salaries 22/04 ni UONGO (BOLD and UNDERLINED)
 
bot inapatikana

Mkuu mi bado siipati bwana. Inaniambia:

"The connection has timed out. The server at Bank of Tanzania (BOT): Home Page : Benki Kuu ya Tanzania is taking too long to respond."

Labda kuna mgao wa tovuti - sehemu zingine zinapatikana kwingine hazipatikani.

Ya MoF halikadhalika nayo inasema hivyo hivyo. Nashindwa kabisa kuamini kwamba hizi taasisi hazina resources za kuhakikisha tovuti zao zinapatikana pasi na kwikwi.
 
mnenikumbusha majibu ya mkullo kwa Zito kabwe.. sometimes unatamani kuchapa watu bakora!
 
Ahsante kwa kusema ukweli. Hawa jamaa wamezidi kwa kusema uongo. Hivi wakikubali ukweli itakuwaje?
Namuiamini Zito kuwa hakurupuki kusema. He speaks with data.
 
hili zee linasaidiwa na ule upara ndo maana linaonekana lina busara a=otherwise hovyo kabisaaa....yaani kama zezeta hivi
 
Ahsante kwa kusema ukweli. Hawa jamaa wamezidi kwa kusema uongo. Hivi wakikubali ukweli itakuwaje?
Namuiamini Zito kuwa hakurupuki kusema. He speaks with data.

Zitto ni kijana wa kazi na ni kipanga vile x2. Achana na uongo wa Mkulo kwanza kilaza
 
Back
Top Bottom