Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ni Usanii au Ufisadi?

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Serikali iliwaahidi watanzania kwamba imeanzisha mradi wa mkongo wa mawasiliano ili kufanya mawasiliano kuwa ya kiwango cha juu kwa gharama nafuu. Miaka inazidi kuyoyoma hakuna cha ubora wa mawasiliano au gharama kupungua.Tuieleweje serikali yetu? Gharama za mawasiliano zinazidi kupanda (Mfano gharama za internet za Airtel zimepand kuanzia leo).Serkali iwahurumie wananchi wake kwa kutekeleza miradi inayoanzishwa ili kuboresha maisha.
 
I was asking myself same question...mbona internet speed bado ni slow? Mbona gharama hazishuki? Mbona project ya kufikisha huo mkonga Tanzania nzima haikamiliki kama airport ya Songwe? I mean tuko serious kwenye nini sasa...!!!...????
 
Mpaka leo Tanzania imefanikiwa kufikisha umeme kwa wananchi wasiozidi asilimia 15 nchi nzima. Na hao walionao wanautumia kama anasa sababu ni waghali mno yaani no jiko, pasi inawashwa kwa mahesabu na sasa ni taa za energy server kwa kwenda mbele ili kuminimize cost kwa kadri inavyowezekana. Lakini pia ikumbukwe kuwa upatikanaji wa umeme ni full mizengwe na kwa hali hiyo basi mkongo utafanikiwa kufanya kazi pale serikali itakapofanikiwa kufikisha umeme kwenye kila kijiji maana kwa sasa with 50 years of experience wako kwenye level ya kupeleka umeme wilayani, then 50 years zingine kupeleka umeme kwenye kila Tarafa halafu baada ya hapo miaka mingine 50 itakuwa ya kupeleka umeme kwenye kila kata na baada ya hapo miaka hamsini ya mwisho ni kupeleka kwenye kila kijiji hivyo huu mkongo kwa haraka haraka unaweza kuwa kwenye full operation baada ya miaka 150 yaani itakuwa mwaka 2162. Heri yao watakao kuwepo maana sim zitakuwa ni bure kabisaaaaaaaa miaka hiyo, nayebisha asubiri aje kuona!
 
Tatizo hatuna techniciens na hatuna mikakati ya kutengeneza engalau incubators katika fan mbalimbali kwa ajili ya kupanua au kuongeza kasi za maendeleo. Usione ajabu pengine hakuna hata Mtalaam mmoja wa maswala ya utandazaji wa mkongo huo. Mkongo umefikishwa Tz lakini sasa nani afikishe huduma hiyo maofisini, majumbani, mahospitalini, mashuleni?,,,,,Mtoto kazaliwa lakini anahitaji good care, hilo sasa bongo kazi kubwa, reli iko haina good care, infact waneweza kuupitisha kwenye nyaya za mawasiliano ya reli ambazo zingepitia mikoa iliyopitiwa na reli ya kati na ya Zambia. Lakini hapo napo kazi hakuna mbunifu .....basi inabakia ukiwa benki system iko dooown, ukienda TRA same anser , ukienda Brela the same.Ukienda posta hivyo hivyo, kazi ya 2 minutes inachukua a week. Africans dont know what they have and how to deserve it. Prestige inatutesa sana. Kwa kifupi Mkongo upo umekumbatiwa na wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hawana mpango wa kuuachia ukumbatiwe na wananchi .sababu wanazijua wao
 
ni kama mradi wa bwana mzee wa kutafuta maoni juu ya vazi la taifa - sheer ufisadi
 
Mkonga (Transport network) wa taifa umefika, sasa nijukumu letu sisi watanzania kubuni mbinu za kuweka access network ili iwe bei iwe rahisi. Si wajibu wa serikali tena, tuache uvivu.

Static broadband access network, ndiyo kwa sasa atleast bei yake ndo nafuu na inaweza kupungua sana, lakini kwa mazingira ya Tanzania ni ngumu kuiwezesha kwa sehemu kubwa.

Mobile broadband access network ambayo wengi wanatumia na wewe unayoongelea bei yake ni ngumu kupungua na ni karibu ni bei std kote duniani kwa sababu inahitaji network ya operator tuseme airtel atumie backhaul network yake hapo inategemea capacity yake ktk backhaul na ikitoka hapo inaenda kwa core network ya operator na hapo inategemea tena capacity yake ikitoka hapo ndo inaenda kwa transport network.

Utaona kwa kutumia Mobile broadband access network kuna bottle neck nyingi sana kati ya access network na transport network (mkonga), na kwa kutegemea hiyo teknologia bei haitashuka sana na speed haitaongezeka sana kama mnavyotarajia.

Hata hivyo, ili kukwepa hiyo bottle neck vendors wamekujana kitu kinaitwa Long Term Evolution (LTE) ndiyo kipo ina emplemetiwa kwa afrika mwezi kutakua inafanyika Nigeria na South Africa wenda Tanzania baada ya hapo itafuata, speed itaongezeka sana na bei ya kupiga simu itapungua laakini yawezekana isipungue sana kutokana na haya telecom boxes ni expensive na kuna operator hasa wa africa ni too conservative, kubadili systems zao walizo nazo maana ni gharama na hawaoni sababu kama revenue yao iko nzuri kwa system walizo nazo.

Kwa uelewa wangu ni operator MTN kwa afrika ndo wanabadilisha system zao. Hao airtel,tigo nk sijawasikia ila nimesikia africa kuna mabadiliko yatafanyika ndani ya miezi ya karibu ijayo.

Kwahiyo nataka kusema kuwa serikali karibu imemaliza kazi yake kinachobaki ni sisi wenyewe kuwa wabunifu kutumia hiyo infrustructure na hatimaye bei kuwa rahisi, tuache kulalama sana wakati wakati mwingine tatizo ni sisi wenyewe.
 
Mkonga (Transport network) wa taifa umefika, sasa nijukumu letu sisi watanzania kubuni mbinu za kuweka access network ili iwe bei iwe rahisi. Si wajibu wa serikali tena, tuache uvivu.

Static broadband access network, ndiyo kwa sasa atleast bei yake ndo nafuu na inaweza kupungua sana, lakini kwa mazingira ya Tanzania ni ngumu kuiwezesha kwa sehemu kubwa.

Mobile broadband access network ambayo wengi wanatumia na wewe unayoongelea bei yake ni ngumu kupungua na ni karibu ni bei std kote duniani kwa sababu inahitaji network ya operator tuseme airtel atumie backhaul network yake hapo inategemea capacity yake ktk backhaul na ikitoka hapo inaenda kwa core network ya operator na hapo inategemea tena capacity yake ikitoka hapo ndo inaenda kwa transport network.

Utaona kwa kutumia Mobile broadband access network kuna bottle neck nyingi sana kati ya access network na transport network (mkonga), na kwa kutegemea hiyo teknologia bei haitashuka sana na speed haitaongezeka sana kama mnavyotarajia.

Hata hivyo, ili kukwepa hiyo bottle neck vendors wamekujana kitu kinaitwa Long Term Evolution (LTE) ndiyo kipo ina emplemetiwa kwa afrika mwezi kutakua inafanyika Nigeria na South Africa wenda Tanzania baada ya hapo itafuata, speed itaongezeka sana na bei ya kupiga simu itapungua laakini yawezekana isipungue sana kutokana na haya telecom boxes ni expensive na kuna operator hasa wa africa ni too conservative, kubadili systems zao walizo nazo maana ni gharama na hawaoni sababu kama revenue yao iko nzuri kwa system walizo nazo.

Kwa uelewa wangu ni operator MTN kwa afrika ndo wanabadilisha system zao. Hao airtel,tigo nk sijawasikia ila nimesikia africa kuna mabadiliko yatafanyika ndani ya miezi ya karibu ijayo.

Kwahiyo nataka kusema kuwa serikali karibu imemaliza kazi yake kinachobaki ni sisi wenyewe kuwa wabunifu kutumia hiyo infrustructure na hatimaye bei kuwa rahisi, tuache kulalama sana wakati wakati mwingine tatizo ni sisi wenyewe.
Kwa theory tu wewe hodari, sasa hiyo fibre cable iliyofikishwa hapo networking tuweke sisi wananchi? Sijakuelewa samahani naomba ufafanuzi. Hebu nenda mji wowote Tanzania uombe ramani ya mji iliyo na design ya networking ya mkongo, Kwanza ramani zenyewe ni za mkoloni, hata hawani idea ya kuzitunza kwenye autocad, wanatumia zile drawing board za wakati wa mkoloni ambazo zimefutwa futwa na zimedeteriorate.
 
Kikwete Jakaya lakini arihudhuria uzinduzi wa huu mongo wa taifa nafikiri maeneo flani kule Kunduchi!! sasa hbu jaribuni kumtuma mtu akamuulize mradi umefika wapi?????
 
Kwa theory tu wewe hodari, sasa hiyo fibre cable iliyofikishwa hapo networking tuweke sisi wananchi? Sijakuelewa samahani naomba ufafanuzi. Hebu nenda mji wowote Tanzania uombe ramani ya mji iliyo na design ya networking ya mkongo, Kwanza ramani zenyewe ni za mkoloni, hata hawani idea ya kuzitunza kwenye autocad, wanatumia zile drawing board za wakati wa mkoloni ambazo zimefutwa futwa na zimedeteriorate.

Vyema,
Zote ni network hata hiyo unaosema mkonga ni network.
Network imegawanyika ktk sehemu sehemu, kuna sehemu amabyo ni serikali ina subsidaizi na sehemu nyingine ni sisi wenyewe kubuni na kufanikisha.

Ndiyo, Access network (last mile network) lazima sie tuweke ama tusubili wawekezaji wa kihidi watule na baadae tulalamike kwa serikali.
Mimi nafikiri kila topic ingekuwa na wataalamu ktk maeneo hayo kujaribu kuitabanaisha topic iwe rahisi kwa wachangiaji wapate nani wa kulaumiwa serikali ama sisi wenyewe wananchi.
 
MkamaP

Maelezo yako ni ya kina na unaonekana haya mambo unayajua. Unajua jf ili post ipate wachangiaji ni iwe ya kulalamika tu na kuponda serikali.
Jamani pamoja na juhudi za kupinga maovu lakini maendeleo ya kweli yanaletwa na sisi wenyewe. Tutajifurahisha kwa kuchangia humu na kutukana lakini hali zetu zitabaki hivo hivo tusipochange mitazamo yetu.
 
Vyema,
Zote ni network hata hiyo unaosema mkonga ni network.
Network imegawanyika ktk sehemu sehemu, kuna sehemu amabyo ni serikali ina subsidaizi na sehemu nyingine ni sisi wenyewe kubuni na kufanikisha.

Ndiyo, Access network (last mile network) lazima sie tuweke ama tusubili wawekezaji wa kihidi watule na baadae tulalamike kwa serikali.
Mimi nafikiri kila topic ingekuwa na wataalamu ktk maeneo hayo kujaribu kuitabanaisha topic iwe rahisi kwa wachangiaji wapate nani wa kulaumiwa serikali ama sisi wenyewe wananchi.
Shukrani kwa ufafanuzi wako, lakini ni vizuri serkali iwe inamrahisishia mwananchi wake. City plans zetu ni mbovu, hakuna ramani ya mji wowote Tanzania yenye vielelezo vya networks za mitaro ya maji machafu, umeme, network za It. Kwa njia hiyo unayoisema itakuwa kama shida tunayoipata kuvuta umeme majumbani shida tu, ingekuwapo network iliyoweka na halmashauri kulingana na city planning ingekuwa kuvuta umeme na internet au landline phones dakika tu na bei poa tu. Ndiyo maana nasema hakuna ma architect wa miji yetu kila kitu holela tu. sasa kama holela hivi wewe utasambazaje kwenye majumba?
 
Shukrani kwa ufafanuzi wako, lakini ni vizuri serkali iwe inamrahisishia mwananchi wake. City plans zetu ni mbovu, hakuna ramani ya mji wowote Tanzania yenye vielelezo vya networks za mitaro ya maji machafu, umeme, network za It. Kwa njia hiyo unayoisema itakuwa kama shida tunayoipata kuvuta umeme majumbani shida tu, ingekuwapo network iliyoweka na halmashauri kulingana na city planning ingekuwa kuvuta umeme na internet au landline phones dakika tu na bei poa tu. Ndiyo maana nasema hakuna ma architect wa miji yetu kila kitu holela tu. sasa kama holela hivi wewe utasambazaje kwenye majumba?

Mkuu,
Ndiyo hapo sehemu palipo na internet ya bei rahisi ni sehemu ambako karibu kila kaya kulikuwa na landline kwa hiyo walichofanya ni kurun data over voice infrustucture kama vile xDSL, ama cable za tv, kwa hiyo ndo maana ulaya bei ya internet ni rahisi, lakini kwa kutumia mobile broadband, bei yake haina tofauti sana kati ya ulaya na afrika.

Kwa Tanzania kuweka last mile ni ngumu, hapo ugomvi ndo unapoanzia na serikali inalaumiwa hapo bila sababu sana. Na hata hivyo hiyo tatizo unaweza kui solve kwa teknolojia inayoitwa WIMAX kwa muono wangu.

Sio kweli sana unavyosema kuhusu halmashauri kuweka Metropolitan Area Network (MAN), ila wakifanya hivyo wanakuwa wamekaribia kulisolve tatizo.
 
MkamaP upo juu, binafsi nimekukubali kwa theory hai. tatizo wana jf huwa hawawezi ku-appreciate jambo lolote serikalini, ukianzisha topic Lema kamtukana mkuu wa mkoa hapo utakuwa rafiki yao!
Serikari imejitahidi kutandaza mkongo sehemu nyingi, Dar-Dodoma-Singida-Mwanza mpaka mpakani mwa Rwanda/Burundi, na pia Singida Arusha heading to Namanga, sina uhakika corridal ya Arusha -Dar imekamilika au vipi, tatizo linakuja watumiaji wanalalama tu bila kutumia.
Tatizo kwa serikali ni kuikabidhi TTCL kama muendesha hio biashara, kitu ambacho naona mitandao ya simu za mikononi inasita kukodisha njia na kutumia kama leased backbone kwa sababu ya ushindani,

Miaka ya nyuma mobile operators walipoingia, walikuwa wanakodi masafa toka TTCL, badala ya TTCL kuboresha na kufanya hio biashara nzuri, ikarubuniwa na celtel, ikawa inaleta longolongo kuwapa wapinzani kibiashara, Vodacom walinyanyaswa sana na TTCL, na ndio ikawa siri celtel/Zain/Airtel kuenea zaidi vijijini kuliko wengine, hadi pale walipokuja kujikita na Transmission link zao, nasikia Vodacom wamewekeza mkongo wao (Fiber Optic) kutoka Dar kwenda Dodoma, ule mfereji uliojengwa kandokando mwa barabara wakati wa serikali umepitia njia ya Railway na tanesco link.
usisubiri serikali ikuletee mpaka kwako, do something!
 
...............................

Kwahiyo nataka kusema kuwa serikali karibu imemaliza kazi yake kinachobaki ni sisi wenyewe kuwa wabunifu kutumia hiyo infrustructure na hatimaye bei kuwa rahisi, tuache kulalama sana wakati wakati mwingine tatizo ni sisi wenyewe.

Mkuuu maelezo yako ni ya kitaalama na mazuri sana lakini ukisema serkaili imemaliza kazi yake then maana yake huangalii vitu kwa upana wake. Ingekuwa tunaonngelea technical solution tu ni kweli Lakini hizi teknologia zisiposaidida kutatua au kurahisiha mambo fulani kwenye jamii then justificatin ya faida yake inapungua . No matter hata ukiwa 4G au LTE.


Kwa nini nasema hivyo?

Kwa sbabu hii mada muhusika kaileta kwenye siasa nitachaganya taaluma yangu ndogo ya IT kuelezea kwa nini mambo ambayo serikali bado haijamaliza. Ila wazo la kusema ni UFisadi hilo si kweli unaweza kuwa UFISADI kama vingozi na wanasiasa hawajui potential na nini tufanyea Au tutumieje huu monga . Na hili ndio tatizo. Serikai litakiwa iweezeshe
TTCL hata kwa mkopo ili ilipugrade infastructure zake za landline ambazo hazitumiki sana zitumike kuwapatia wananchi, shule na sehemu mbaili mbali QUALITY static broadband. Static broadband ambayo huko majuu ndo wantumia ADLS boradband ufanisi wake ni mkuba kuliko hizo mobile broadband.

Soma hapa ujue kua serikali haijamaliza na ni kwanza inaaaza
Sasa leo hii wanafunzi tunasikia wanafeli. Wanaambiwa hawawezi kufanya practical za chemistry au physics au biology zaidi ya kusoma maandishi sababau maabara hakuna viifaa kama tulivyosoma sisi wakati hata internet ilikuwa shida zaidi.Je kama hata ni gharama kutengenza video kwa nn wasionyenshwe video nzuri za practical za youtube(Tunahitaji shule ziungaishwe na internet). Mimi nashangaa sometime nikiona mwanafuzi wa chemiestry sasa tena wa Tambaza au jangwani eti hafanyi na mbaya zaidi wala hawezi kuona(VISUAL) practical ya chmiestry shuleni inafanyikaje kwa kisingizo cha kutuwepo vifaa au maabara. Sasa huu Mkonga ni wa Kazi gani???. Yaani internet iwezeshe kununua kitu ebay au amazon lakini shule ya kigoma au hata dar isiyo na mwalimu au mwalimu anayepeda waone ishindwe kutumia Video kama hii ya kwenye intenet kuwafafanulia somo au mada iiliyokuwa ngumu kwa wanafuzi. ........ Hapo bado mkonga na Seriali itakuwa haijakamiisha kazi yake.......


Sasa wegine wanaweza kuwa wanaagalia gharama tu lakini vipi quality of service (QoS) Huu mkonga umebadisha nini so far?.na vipi how service si delivered.

Kwa hiyo Mkuu mkonga umefika lakini bado serikali haijamaliza. Technlogy inatakiwa isaidie kufukia mashimo na mapungufu kwenye mambo mbali mbal ili iwe na maana. Mkonga hautakiwii kuishiia kutusadia kununua bidhaa ebay au amazon. Unatkiwa uwezeshe Elimu iboreke. kupunguza matumizi kama ya simu ofisini n.k. Serikali bado ina a role kubwa saaaaaaana. Unless hawana/hatuna ideas

Mfano mwingine.
Google map nimewai kuandika kwenye mada hii
Angalia detail za gooogle map ya Tanzania. kwa nn bado ramani nch yetu iko makabatini? Ni posta tu dar ndo walau ina detail. ukienda mbezi unaona barabara na mitaa haina hata majina. Angalia arusha Mwanza. Google map hawataki hela kuweka detail za publc places .Wizara ya ardhi wangekuwa na kitengo cha Gmap hata kwa miaka mitatu tu Ramani ya Tanzania ingeshiba detail sahihi. Hapo zingetoea fursa nyingine kama wataalam wangetengenza GPS aps za Tanzania . na utalii wa maeneo yasiyojulikana ungeonekana na kufahamika

So hata ukiwa na mkonga hadi kasulu kuna mambo kama hayako kwenye mstari tutatumia kungia JF na kuangalia zile movie zetu tu lol ......

So maoni yangu suala si bei tu ni How huu mkonga utakuwa chachu ya kurahisha kupata, lutafuta au huduma au taarfa fulani . Katika hilo bado tumelala si wananchi na si serikali
 
Mkuuu maelezo yako ni ya kitaalama na mazuri sana lakini ukisema serkaili imemaliza kazi yake then maana yake huangalii vitu kwa upana wake. Ingekuwa tunaonngelea technical solution tu ni kweli Lakini hizi teknologia zisiposaidida kutatua au kurahisiha mambo fulani kwenye jamii then justificatin ya faida yake inapungua . No matter hata ukiwa 4G au LTE.


Kwa nini nasema hivyo?

Kwa sbabu hii mada muhusika kaileta kwenye siasa nitachaganya taaluma yangu ndogo ya IT kuelezea kwa nini mambo ambayo serikali bado haijamaliza. Ila wazo la kusema ni UFisadi hilo si kweli unaweza kuwa UFISADI kama vingozi na wanasiasa hawajui potential na nini tufanyea Au tutumieje huu monga . Na hili ndio tatizo. Serikai litakiwa iweezeshe
TTCL hata kwa mkopo ili ilipugrade infastructure zake za landline ambazo hazitumiki sana zitumike kuwapatia wananchi, shule na sehemu mbaili mbali QUALITY static broadband. Static broadband ambayo huko majuu ndo wantumia ADLS boradband ufanisi wake ni mkuba kuliko hizo mobile broadband.

Soma hapa ujue kua serikali haijamaliza na ni kwanza inaaaza
Sasa leo hii wanafunzi tunasikia wanafeli. Wanaambiwa hawawezi kufanya practical za chemistry au physics au biology zaidi ya kusoma maandishi sababau maabara hakuna viifaa kama tulivyosoma sisi wakati hata internet ilikuwa shida zaidi.Je kama hata ni gharama kutengenza video kwa nn wasionyenshwe video nzuri za practical za youtube(Tunahitaji shule ziungaishwe na internet). Mimi nashangaa sometime nikiona mwanafuzi wa chemiestry sasa tena wa Tambaza au jangwani eti hafanyi na mbaya zaidi wala hawezi kuona(VISUAL) practical ya chmiestry shuleni inafanyikaje kwa kisingizo cha kutuwepo vifaa au maabara. Sasa huu Mkonga ni wa Kazi gani???. Yaani internet iwezeshe kununua kitu ebay au amazon lakini shule ya kigoma au hata dar isiyo na mwalimu au mwalimu anayepeda waone ishindwe kutumia Video kama hii ya kwenye intenet kuwafafanulia somo au mada iiliyokuwa ngumu kwa wanafuzi. ........ Hapo bado mkonga na Seriali itakuwa haijakamiisha kazi yake.......


Sasa wegine wanaweza kuwa wanaagalia gharama tu lakini vipi quality of service (QoS) Huu mkonga umebadisha nini so far?.na vipi how service si delivered.

Kwa hiyo Mkuu mkonga umefika lakini bado serikali haijamaliza. Technlogy inatakiwa isaidie kufukia mashimo na mapungufu kwenye mambo mbali mbal ili iwe na maana. Mkonga hautakiwii kuishiia kutusadia kununua bidhaa ebay au amazon. Unatkiwa uwezeshe Elimu iboreke. kupunguza matumizi kama ya simu ofisini n.k. Serikali bado ina a role kubwa saaaaaaana. Unless hawana/hatuna ideas

Mfano mwingine.
Google map nimewai kuandika kwenye mada hii
Angalia detail za gooogle map ya Tanzania. kwa nn bado ramani nch yetu iko makabatini? Ni posta tu dar ndo walau ina detail. ukienda mbezi unaona barabara na mitaa haina hata majina. Angalia arusha Mwanza. Google map hawataki hela kuweka detail za publc places .Wizara ya ardhi wangekuwa na kitengo cha Gmap hata kwa miaka mitatu tu Ramani ya Tanzania ingeshiba detail sahihi. Hapo zingetoea fursa nyingine kama wataalam wangetengenza GPS aps za Tanzania . na utalii wa maeneo yasiyojulikana ungeonekana na kufahamika

So hata ukiwa na mkonga hadi kasulu kuna mambo kama hayako kwenye mstari tutatumia kungia JF na kuangalia zile movie zetu tu lol ......

So maoni yangu suala si bei tu ni How huu mkonga utakuwa chachu ya kurahisha kupata, lutafuta au huduma au taarfa fulani . Katika hilo bado tumelala si wananchi na si serikali

Mkuu
Nakubaliana na wewe kwa yote, kama tunavyosema ktk imani ya kwamba Imani bila matendo imekwisha. Vile vile kwa Mkonga bila kutumia mkonga kufumbua matatizo basi hauna maana.

Tatizo nafikiri, ndani ya serikali hakuna wabunifu kama ilivyo kwa watanzania asilimia kubwa, na pia nafikiri tatizo si serikali kwa sababu serikali sio wataalamu wao wanasubiri proposal kutoka kwa wanaoongoza vitengo.

Kama ulivyosema, kupeleka internet kwenye mashule sio kazi sana maana karibu shule nyingi zina landline kwa hiyo ni rahisi tu maaana ttcl wana XDSL.

Na tena hili linge solve hata tatizo la waalimu, kweli wakati mwingine naishangaa serikali. Kama shule zina internet ya uhakika mwalimu mmoja anaweza kufundisha shule zote kwa wakati mmoja, hivyo walaaimu kuelekezwa zaidi vijijini ambako hakuna internet.

Ningeiomba serikali, ikawa inakaribisha watanzania wa fani mbali mbali waje na solution zao za kusolve matatizo ndani ya nchi. Solution inakuwa ktk high level na low level design, na solution nzuri inachukuliwa wanaitisha tenda kwa makampuni yenye uwezo wa kui implementi na aliyeleta wazo, anakuwa Solution Archtect wa project hiyo. Mambo yangeenda vizuri zaidi.
 
Kama niyo hiyo cyber optic, imekatwa na meli bandarini mombasa wakati wa kutoa nanga.
 
MkamaP upo juu, binafsi nimekukubali kwa theory hai. tatizo wana jf huwa hawawezi ku-appreciate jambo lolote serikalini, ukianzisha topic Lema kamtukana mkuu wa mkoa hapo utakuwa rafiki yao!
Serikari imejitahidi kutandaza mkongo sehemu nyingi, Dar-Dodoma-Singida-Mwanza mpaka mpakani mwa Rwanda/Burundi, na pia Singida Arusha heading to Namanga, sina uhakika corridal ya Arusha -Dar imekamilika au vipi, tatizo linakuja watumiaji wanalalama tu bila kutumia.
Tatizo kwa serikali ni kuikabidhi TTCL kama muendesha hio biashara, kitu ambacho naona mitandao ya simu za mikononi inasita kukodisha njia na kutumia kama leased backbone kwa sababu ya ushindani,

Miaka ya nyuma mobile operators walipoingia, walikuwa wanakodi masafa toka TTCL, badala ya TTCL kuboresha na kufanya hio biashara nzuri, ikarubuniwa na celtel, ikawa inaleta longolongo kuwapa wapinzani kibiashara, Vodacom walinyanyaswa sana na TTCL, na ndio ikawa siri celtel/Zain/Airtel kuenea zaidi vijijini kuliko wengine, hadi pale walipokuja kujikita na Transmission link zao, nasikia Vodacom wamewekeza mkongo wao (Fiber Optic) kutoka Dar kwenda Dodoma, ule mfereji uliojengwa kandokando mwa barabara wakati wa serikali umepitia njia ya Railway na tanesco link.
usisubiri serikali ikuletee mpaka kwako, do something!
Nipeni wilaya niwe mkuu nitawarahisishia wana wilaya kwa kutumia pesa za kodi yetu kwenye Taifa letu na itakuwa the only demonstrated example in Tanzania. Sipendi kuona serikali yetu inavyotengeneza mzingira ambayo yanamweka mwananchi awe kwenye mazingira magumu awe mfanyakazi au mkulima hakuna njia madhubuti za kuwa na urahisi wa kutenda shughuli zako,,, wewe uko Dar usafiri foleni kibao, Hiyo internet system doooown... haya unasema do something don't depend upon the gov. Hebu tuanzie kwako boss do something for this system is dooown.
 
Back
Top Bottom