Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Katika taarifa ya habari ya ITV ya saa 2 usiku huu, nimeona habari ya zahanati moja iliyoko Mtwara pamoja na shida ambazo zinaikabili zahanati hiyo. Mojawapo ya matatizo yaliyoelezwa ni ukosefu wa mawasilaiano na vilevile ukosefu wa usafiri kwa wagonjwa. Katika habari hiyo ulionyeshwa mkokoteni wa kubebea wagonjwa uliotolewa na serikali, ukiwa umeharibika.
Taarifa hiyo ya habari imenifanya nifikirie ubadhirifu mkubwa wa fedha za serikali unaofanywa na viongozi pamoja na baraza kubwa mno na watumishi wa serikali ambao hawana lazima. Fedha hizo zingetumika kutatua matatizo hayo ya wananchi.
Taarifa hiyo ya habari imenifanya nifikirie ubadhirifu mkubwa wa fedha za serikali unaofanywa na viongozi pamoja na baraza kubwa mno na watumishi wa serikali ambao hawana lazima. Fedha hizo zingetumika kutatua matatizo hayo ya wananchi.