Hainaga ushemeji
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 451
- 777
Binafsi nikitoka na msichana nishaamua kuugulia maumivu tu mwenyewe, maana nishapata aibu kipindi cha nyuma, kuna manzi nilimlisha sana bata kipindi hiko, kuna weekend kaniomba tutoke, nikamwambia nipo ovyo kama vipi asimamie shoo, duh alichonijibu sasa, 'haina shida, wear some heels too"
Kuanzia hapo nimeamua kufa na tai shingoni, vipi nyinyi wakuu? Bili mnachangia au?
Kuanzia hapo nimeamua kufa na tai shingoni, vipi nyinyi wakuu? Bili mnachangia au?