Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Hii ni interview iliyofanyika kipindi cha uchaguzi miezi 2 iliyopita,nilikuwa nasoma ile thread ya Lyatonga kuvuliwa kofia,sasa na huyu nae ni wa kumvalia kufia kofia kabisaaaa,nimefanikiwa ku-upload hii hapa,hebu sikiliza maghabachori yanavyofuja mafedha yetu,na mambo yote ya muungano,mgombea binafsi,kuvuruga uchafu uliopo(uharahimia wa kisiasa) n.k!!! Tumuheshimu huyu jamaa!! Msikilize hapa:
Mtikila Interview